makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,721
- 1,175
Yani ni kweli kabisa umenikumbusha mbali sana Ila enzi hazirudi jamanihuu uzi umesomwa zaidi na wanawake, wanakumbukia mengi sana.
Wale wa Sekondari , wanakumbukia walipoliwa disko la welcome first year!
wale wa A-level huwa wanakulana siku ya disko la shule kwa shule, na wale domo zege huwa wanakulana siku ya graduu!
wale wa chuo huwa wanakulana siku ya orientation na kujitambulisha darasani maana kila mtu anajitambulisha anatoka Dar