cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,997
- 139,722
Huyu lazima mdada wa IFM au MNMHHaya kumekucha kumekucha… Nipo kigamboni siku hiyo naona mtoto mkali sana rangi ya chocolate anajaribisha nguo za mitumba pale ferry aisee yule mtoto ana kiuno yanii balaaa acha kabisa..the way alivyokuwa anavaa na kuvua vitop me akili ikahama nikaenda pale mikajidai namuuliza nguo sh ngapi?? akaniambia 500 tu aaha nikamwambia umechagua ngapi?? akasema nne tu me nkatoa 5K nikampa alipie nikamuomba na namba ila chenji sikuchukua. Baadae nkaona amenitumia msg ahsante sana kwa kuninunulia nguo me nkamwambia wewe mzuri sana yani natamani nione jinsi zilivyokuoendeza hakujibu msg mpaka kesho yake akanimbia utaniona tu usijali. Nikamwambia fanya nikuone hata leo bhasi akasema bhasi tufanye jioni hivi akitoka kazini nikasema yes hapa tayari. Jioni nikawahi maeneo ambayo pana lodge alipotaka kuja ikawa rahisi kumpanga aje sehemu gani, kufika mida ya saa 2 mtu kimya yani hajibu msg wala nini nkaona hapa nimeuzwa nikasema ngoja ninywe tu gambe hapa zikinizidi nikalale tu.. Sema mabaharia kukata tamaa mwiko mara msg inaingia my nataka kuja sema sina nauli faster nkamtumia 5k tena japo kwa machale sana yani nusu saa nyingi huyu hapa kufika tu tumekaa njee kama nusu saa nkamwambia bhasi tukae sehemu pazuri Zaidi tuongee ambapo hakuna sana macho ya watu demu akasema me ndani naogopa nkamwambia hatukai sana yani nataka japo hata nikukiss tu hapa jau. Tumefika ndani nkaanza kumshika shikaa anatoa mikono..nkaanza kunyonya chuchu naona analalamikaa tuu..tembeza ulimi mwili mzimaa yanii...kugusa chini ule sio uteleziii ni balaaaa piga sana yanii yani hapana aisee kama roun 4 hivi. Tulilalaaa kabisa kesho asubuhi nkaona nimnunulie p2 kabisa na nauli asije anza niletea habari nyeusi. Kiufupi hela ndo inafanya wanaume tuonekane waongo maana vizinga vikaanza mwisho wa siku akaanza kuniita tapeli wa mapenzi.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app