we jamaa ndo unataka kumpoteza, akijaribu tena huko lodge kitakachofata, atamkuta jamaa ake manzi na mwenyekiti yaan hapo nikupakwa Futa zito, kama kesi imeshindwa kusolvika hadharani huko lodge historia itaandikwaNamhakikishia pamoja na hayo yote yalojiri, akirudi kwa mara ya pili kwa sasa akamwambia huyo mwanamke yafuatayo lazima amle.
Dada samahan, najua nimedhalilika sabab yako ww, na hapa naendelea kitafuta faini yenu nilipe.
Lakini dada sisi binadam tumeumbiwa upendo na sio kuchukiana, kile nilichokuandikia kwenye msg ilikuwa na matokeo ya upendo wangu kwako wa muda mrefu ndani kwa ndani bila kukuambia.
Najua huyo mme mnapendana ila isiwe sabab ya kudhalau pendo langu kwako.
Niko tayar kukufanyia chochote utakacho ili uelewe pendo langu kwako.
Nambie siku gani unayo nafasi nitakutafuta tuongee zaidi.
Akikupa jibu tafuta lodge mualike kukutana kwenu mle