Semere92
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 563
- 741
Hapo ndipo mlifeli mlivyosepa. Ilitakiwa mkaze Ile kindaki ndaki.... Yaani mnakuwa full bandidu.... Full bahariaEbwanaeee,,,,Haya mambo ya kula Fruits kimaskhara yamekuwa mengi sana,
Mwaka Jana mshikaji wangu alitongoza jimama Hilo hatari,sasa likampa namba wakawa wana chat,
Hilo jimama likamwambia jamaa aende weekend mana lilisema lina ishi lenyewe mitaa ya kilima hewa,na likadai mume wake alishafariki na kuhusu watoto wako shule wanakaa boarding, wakawa wana chat chat ile mbaya mpk mambo ya sex,jamaa akawa ananionyesha anajidai ile mbaya.
Nakumbuka Siku kama ya jumatano ambayo ndo ilikuwa wiki ya kwenda kumtembelea kwake weekend hyo,Lile jimama lilimwambia jamaa kuwa atafute kijana mwingine mana kuna jimama lingine linatafuta kijana,Ebwanaee jamaa akanipa ile taarifa,moyo ulilipuka Paaaaaaaah,,,,,, kama vile nimetupiwa Bomu lilitongenezwa Kwa virusi vya corona,
Pale pale nikapewa namba wazee baba,nikaanza kuchat nae,Mara akaniomba picha,nilivyo mtumia akaniuliza,wew mbona ni mdogo sana?
Nikamjibu Haina shida mtoto mzuri,sawa me ni mdogo lkn Kwa matendo yangu huwa shetan mwenyewe anakaa pembeni kushuhudia game,,,
Nakumbuka baada ya hiyo text alinipgia video call akicheka,Duuuh huendan na maneno yako,akasema hvo.
Siku zilienda huku tukiwa tumeshapanga tukutaniae kwenye nyumba ya yule jimama la mshikaji,
Ebwanaeee nakumbuka wiki ile nilikuwa naona kama vile haiendi mana haya majimama yalikuwa yako njema ile mbaya,ninavyo sema majimama siyo ile mijimama mitupu nyema,hapana aisee,
Nakumbuka ilikuwa ni Siku ya j pili nimeamka asubuhi tu nikakutana na text,eti tuwaandalie nin waume zetu,Nikamwuliza mshikaji,akanambia wapike ugali,akajibu duuuh mnataka mtusugue mpk tukome eti,,,!!
Mida ya saa 4 nikaenda kuchukua ndinga Kwa bro ya kwenda nayo ili kujiongezea thamani,Tukaenda mpk kilima hewa,walioko mwanza wanapajua,tukaelekezwa mpk tukafika Kwa huo mjengo,get Kali mpk nikaanza kuhis hapa kuna hatari ya kufumuliwa malinda mamake,ila mtu mzima nikajikaza tukazama mpk ndani,geti likafungwa Daaaah,Kweli wale wadada walitupokea vzr huku tumepiga pamba zile za kibishoo hasa,na tulisifiwa vya kutosha wazaz.
Tukapiga stori pale sebulen,baada ya nusu saa msosi ukaletwa tukafinya,tulivyo maliza kula,nikashangaa jimama lile la mshikaji likaanza kusema,nyie watoto sikilizen,nyie bado ni vijana wadogo sana,hii tabia ya kupenda wanawake walio wazidi umri siyo nzuri,ebu fikirien wazazi wenu wakijua kwamba sisi tunatoka na nyie watatufikiriaje,Ebu achen umalaya nyie watoto mtakuja kufa vibaya Kwa maradhi,muda huo hata sielewi Niko wap, yan Nipo Nipo tu huku nimeinamisha kichwa chini,waliongea vitu vingi vya kutushauri mpaka nikajuta kuzaliwa,
Ilibidi tu tuage tuondoke mana duuuh,nakumbuka wiki yote ile hata performance yangu kazin ilikuwa ndogo sana,yani nilihis kama wale wamama wametuvua nguo.
Licha ya wale majimama kutuchamba Siku ile ila hawakuacha kuwa wana tutext kila Siku.
Continued.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app