mica capacitor
Senior Member
- Dec 20, 2019
- 182
- 202
Kweli mwamba ametaja sana codes zote kujimwambafai kwa sana ila fresh tusonge mbele na Uzi wetu.Mpk sasa na umri wangu nayajua vizuri mahusiano tena ukija upande wa kula kimasihara ndo hatari kabisa mkuu story za wadau wengi uwa zinavutia na kufanya tupende pitia uzi huu kila mara ila story ya mdau kiukweli haivutii kwa namna nyingi haina udambwi udambwi yani imekua too much specific alafu ubaya zaidi nilichoona ni kujimwambafai kua anafanya kazi mahala flani, kitengo flani , amemla mtu flani ( kamtaja jina) na zaidi kuji proud ana mkaza mkenya sijachukia au kuwa na husda na story yake bali nimeona haivutii
Ni JF pekee umu watu wote wanavitengo, magari wanasex bao la kwanza dk 40, wanawake wakishikwa chini lazima wawe wet sana n.k
Huu uzi naupenda sana haswa kile kisa cha Juma p. Na vinginevyo wa watu wanao kula kimasihara mpk ndoa ila pia tunajifunza mbinu za kibaharia katika uzi huu ukiwai skia jamaa kapigwa kofi kisa kujaribu mla denda demu kimasihara ?
Uzi huu ni sehemu ya kurefresh mind ata usiku wa manane unasoma unapata kutoa stress tunategemea story nzuri zinazovutia sasa jamaa anaongea vitu vya juu juu tu na masifa mengi mengi kila mtu humu anakitengo chake ata kama anauza supu ya pweza barabarani sisi hatutaki jua ndo maana wanaojielewa watakwambia ( kipindi nafanya kazi ofisi fulani) yani kashaweka code ila jamaa katililika
Amenitoa kwenye mood ya kusoma na kudinda asee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app