englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Baba Mwanaasha tunamlinda kwa maombi, vitabu vitakatifu vinasema 'Mungu asipoulinda mji, waulindao wafanya kazi bure'.Duh vipi gari la baba mwana asha ???
Ulinzi wote huu ni dalili kuwa dunia haina amani kabisa...
Huyo hana shida kwa sababu anaulinzi alioachiwa na mzee yahayaDuh vipi gari la baba mwana asha ???
Huyu jamaa na nchi yake dunia nzima ni maadui zake si umesikia masuala ya udukuziUlinzi wote huu ni dalili kuwa huyu jamaa ana madui wengi sana duniani. Tujiulize kama ni kweli ana maadui wengi, KWA NINI ANA MAADUI WENGI!?????????????????????????????????
Maombi yenu mnayomlinda ndio yanamfanya aanguke anguke majukwaani??Baba Mwanaasha tunamlinda kwa maombi, vitabu vitakatifu vinasema 'Mungu asipoulinda mji, waulindao wafanya kazi bure'.