Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
Hivi Makamba amefikia kiwango gani cha elimu vile?
Standard Seven kisha akawa mwalimu wa upe. Inadaiwa alipata msala huko shuleni na kuishia kukimbilia jeshini
Hivi Makamba amefikia kiwango gani cha elimu vile?
Wakati mwingine huwa siamini kama January na Mwamvita ni watoto wa huyu mzee mropokaji!!
Naamini maneno anayoyatamka mara nyingi hayafai hata kutamkwa na balozi wa nyumba 10 wa CCM. Its a disgrace to his party, his Chairman na watanzania wote kwa kuwa na mzee wa jinsi hii.
Nakumbuka kusoma kwenye blog ya January maandishi yafuatayo..."wakati mwingine ni bahati mbaya sana unajikuta unarithi maadui wa baba yako....watu wanakuangalia na kukuona kama mtu wa aina ya baba yako....." Hii statement to me inamaana kwamba January anajua fika mapungufu ya baba yake lakini ndo hivyo tena huwezi kuchagua baba wa kukuzaa!!
wHEN IT COMES TO SERIOUS MATTERS KAMA za ku'address kwa wananchi Makamba hatakiwi kusogeza pua yake huko, maana hana uwezo wa kutathmini aftermath za kauli zake!...he is known for talking off-points and unnecessary comments!
Ukubwa wa umri si busara ati!, na atawagharimu sana yule babu..but at our advantage!
standard seven kisha akawa mwalimu wa upe. Inadaiwa alipata msala huko shuleni na kuishia kukimbilia jeshini
Chief--
That is below the belt. Watoto wa watu wewe unawatakia nini? You are pretty much saying that Mwamvita, January and the rest of Makambas should be ashamed of their father? Maybe your father should be ashamed of u for insinuating things like this Uko wapi uungwana jamani? Kama una beef na "mropokaji" Makamba, basi we mtukane yeye mwenyewe na CCM yake. But invoking his children in a way you did--tell us a lot about your morals than mropokaji Makamba.
And worst of it all, is you are saying these things like you know the truth. Like, umeona jinsi Mzee Makamba alivyowalea wanae mpaka kufika hapo walipo leo (successful on their own merits). You don't know the sacrifices he has taken for his children. You don't know none of that. Halafu leo unachonga kwenye Jambo Forum kwamba they should be ashamed of their parents. Chief, you know better than that!
Ulichoongea kinaweza kuonekana kina busara sana mtu asipokuwa makini, hujaandika kitu chochote kuhusu kashfa ya mzee Makamba kwa wananchi masikini lakini umeweza kucomment ubaya wa mtu kumsema mzee Makamba. Tafsiri yangu ni kuwa kwa sababu hujawa balanced basi you are ok na statement ya Makamba kwa masikini lakini you are not ok Makamba na familia yake wanaposemwa namna ambayo wewe hupendezewi.Chief--
That is below the belt. Watoto wa watu wewe unawatakia nini? You are pretty much saying that Mwamvita, January and the rest of Makambas should be ashamed of their father? Maybe your father should be ashamed of u for insinuating things like this Uko wapi uungwana jamani? Kama una beef na "mropokaji" Makamba, basi we mtukane yeye mwenyewe na CCM yake. But invoking his children in a way you did--tell us a lot about your morals than mropokaji Makamba.
And worst of it all, is you are saying these things like you know the truth. Like, umeona jinsi Mzee Makamba alivyowalea wanae mpaka kufika hapo walipo leo (successful on their own merits). You don't know the sacrifices he has taken for his children. You don't know none of that. Halafu leo unachonga kwenye Jambo Forum kwamba they should be ashamed of their parents. Chief, you know better than that!
Ulichoongea kinaweza kuonekana kina busara sana mtu asipokuwa makini, hujaandika kitu chochote kuhusu kashfa ya mzee Makamba kwa wananchi masikini lakini umeweza kucomment ubaya wa mtu kumsema mzee Makamba. Tafsiri yangu ni kuwa kwa sababu hujawa balanced basi you are ok na statement ya Makamba kwa masikini lakini you are not ok Makamba na familia yake wanaposemwa namna ambayo wewe hupendezewi.
.
Kiwango cha kukariri na kuweza kunukuu mistari ya biblia na furukani bila uelewa wa maana yake.
Biblia ni kitabu kigumu sana kukielewa kwa sababu kimeandikwa in parrables. Ndio maana kunanahitajika busara za ziada, wengine wanaitwa macho ya rohoni kuweza kujua maana halisi ya mistari iliyopo kwenye biblia. Huwa siku zote namshangaa mzee Makamba kunukuu mistari ya biblia, na kuitolea ufafanuzi. Is not that simple mzee Makamba, na ingekuwa simple hivyo kusingekuwepo na haja ya shule za theologia.
Kwa matendo ya mzee Makamba, si rahisi kuweza kuyapata hayo macho ya rohoni kung'amua maana iliyokusdiwa katika mistari ya bibilia anayoikariri kila kukicha. Kuwatetea mafisadi kwa kunukuu visivyo mistari ya bibilia ni DHAMBI. Nawashangaa viongozi wa dini za kikristu wanamuacha tu kutoa tasfiri mbovu na zisizo sahihi kila afunguapo domo lake.
Kuna wakati kweli watu walikuwa wanasisimka wakimsikia Makamba akinukuu hiyo mistari ya bibilia, lakini hivi sasa mzee huyu kapoteza dira, hana maana, hata anayosema yamepoteza ukweli na hayana maana, na hata tafsiri zake zimepoteza mwelekeo na weledi, zinaonekana kama dhihaki kwa kitabu hicho kitakatifu. Mzee Makamba, nakushauri utafute lineS zingine, hizi za kunukuu mistari ya bibilia kila unapoongea utumbo, zimechuja sana. Hata juzi juzi uliyokuwa unampokea chamani yule jasusi na tapeli wa CCJ aliyejiunga na CCM ulinukuu mstari wa biblia, hell no, huko ni kuwakosea wakristu wanaoiamini bibilia kama kitabu kitakatifu.