Ulimbukeni wa akina Hasheem Thabit

inategemea mkuu baina ya mtu na mtu...usikimbilie kulaumu watu...mimi mwenyewe ni na baadhi ya ndugu na marafiki huko ambao they left since 1990, hawajarudi mpaka leo some still fluent in swahili and some not that much...wengine hata laki moja hajui tena ..lakinmi mwingine anakupa mpaka misemo mipya ya huku bongo..reason yeye hupenda sana kujirusha na wabongo ambao wameingia ulaya mda mfupi uliopita ili apate fresh za nyumbani..kila kitu si cha kulaumu ..tutaanza kusema ni wivu sasa..maana wabongo hamuachagi kusema mtu anaringa ...
 
Jamani simtetei hasheem but kama umeishi usa utanielewa, hasheem ameondoka wakat yupo form 2 around 2003 au 2002 makongo, na kwenda straight to high school kule usa, high xul za usa ni tafaut na bongo kule zinachukua miaka mingi had ufike senior then akaenda college connecticut, katika states ambazo ni ngumu kukutana na wabongo au waafrica, I mean states za wazungu karibu wote ni connecticut, so inawezekana hasheem alipita mda mrefu bila kuongea kiswahili zaidi ya akipiga simu home kwao na kipindi hiko sizan kama alikuwa na hela ya kupiga simu kila siku,
Kuna states usa ni ngumu sana kukutana na wabongo wenzako as connecticut, iowa, hawaii, alabama, minnessota and so on so ukikaa huko unaweza usiongee kiswahili hadi unarudi bongo na hiyo inaweza kusababisha misamiati kuitafuta kwa shida wakati wa kuongea, sema kwenye kusikia kusahau ni ngumu as kila neno ukiiambiwa unalikumbuka maana yake but kuongea ni ishu,

Also all in all hasheem is the most succesful youth in Tanzania as at his age hakuna mwenye umri wake anaemzidi kipato, I mean selfmade billionaires labda wa urithi tena wachache so kuwa na swagah muhimu ndo maana leo tunamuona na hummer, kesho range sports nyeusi, jumba masaki na bado bank statement inasoma, as akienda mliman city au 5 star hotel yeyote dunian yeye ana swap master card yenyewe au unicredit, so kumuongekea tunapoteza nguvu tu as bora tufanye kazi tu tujue mustakabali wa maisha yetu mwenzetu ameshatusua.
Mkuu,
wewe umeshawahi kuishi huko Marekani? Hasheem ameingia Marekani juzi tu watu wanamuona. Kama anavyosema mtoa mada huu ni ulimbukeni tu. Kuna watu wana 15+yrs unyamwezini lakini hatujasahau Kiswahili. Kuishi Connecticut sio tija ya kusahau kiswahili.

Vijana wengi wakiishi nje ya nchi kwa miaka miwili mitatu ndio wakirudi nyumbani "When I was" na " You know what am saying" zinakuwa nyingiiii.
 
Kwa mfano Hashim angeishi hapo Kenya kisha akarudi na lafudhi ya kiluo au kikuyu tungemchambua hivi? Tukubali kuwa wakati mwingine adaption inatofautiana sana kati ya watu. Yuko anayetoka dar na kwenda arusha na akawa ana lafudhi ya kiarusha. Haya yanawezekana sana
 
[UOTE=Raia Fulani;4286634]Kwa mfano Hashim angeishi hapo Kenya kisha akarudi na lafudhi ya kiluo au kikuyu tungemchambua hivi? Tukubali kuwa wakati mwingine adaption inatofautiana sana kati ya watu. Yuko anayetoka dar na kwenda arusha na akawa ana lafudhi ya kiarusha. Haya yanawezekana sana[/QUOTE]

we nawe...yani ukienda arusha unasahau kiswahili!?
Bado aiingii akilini baba zima kama lile ambalo kingreza limeanza kukiongea ukubwani leo eti limesahau kiswahili,ni ushamba tu unamsumbua.
 
Ujinga ni kwenda Marekani miezi 3 kurudi unaongea "whaatss mameen", You know i'm sayin', Aiyt, Holla"....wakati ukienda India 4 years unarudi na kiswazi kile kile. wala huna "Vee arrr doing werry Vell MY friend"

this is very true, nathan 2kiendaga na india 2jiftnze na kihindi
 
Huwezi kujua pengine uwezo wa kichwa chake kuweka kumbukumbu ni mdogo hivo ni rahisi kwake kusahau mambo ikiwemo lugha.
 
Back
Top Bottom