MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Wakuu, mwaka jana mwezi Disemba mwanzoni rais wa chama cha walimu alitangaza mgogoro na serikali kutokana na danadana ya serikali kushindwa kulipa malimbikizo ya walimu.
Mgomo huo ulitajwa kuanza kuanzia tarehe 14 januari 2012 kipindi ambacho shule zitakuwa zinafunguliwa. Ukimya uliopo unapunguza joto kama ni kweli kuna dhamira ya dhati ya walimu hao kugoma na kusimamia madai na maslahi yao.
Je, wadau mgomo huo kwa hali ilivyo una dalili za kuwepo au ni yaleyale ya ukunguru wa walimu?
Mgomo huo ulitajwa kuanza kuanzia tarehe 14 januari 2012 kipindi ambacho shule zitakuwa zinafunguliwa. Ukimya uliopo unapunguza joto kama ni kweli kuna dhamira ya dhati ya walimu hao kugoma na kusimamia madai na maslahi yao.
Je, wadau mgomo huo kwa hali ilivyo una dalili za kuwepo au ni yaleyale ya ukunguru wa walimu?