Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Hawa maswahiba bana, hawauzi tiketi dirishani. Wamepanga mawakala kuanzia posta mpya yaani wakikuona na kibegi utaandamana nao hadi kwenye gati. Na pale tiketi wanazo mkononi, tena zimeandikwa tayari, bei isiyo halali. Mie nina jina la kizungu na kihaya leo wanipa tiketi ninaitwa Mabruki! Ikitokea ajali si ndio historia yangu fupi inasahaulika kabisa? Kila tiketi cha juu 5,000/= sijui ndio mfumko wa bei au la............