Ulaghai wa Chuo Kikuu cha Kampala International University (KIU) cha Dar es salaam

Mimi nataka,kujua kwanza hata elimu ya hawa malecturer wa kenya na nigeria
 
Kampala International University ni makanjanja wa Elimu, digrii zao hazitambuliki popote, na ukitaka kujiridhisha nenda pale ASSOCIATION OF TANZANIA EMPLOYERS (ATE) watakuambia
 
Nadhani kuna haja ya kutambua taasisi unayotaka kwenda kusoma kabla hujaenda vinginevyo utajutia muda ukishaenda.
By the way poleni kwa mliokutwa na ilo janga
 
Ni kweli kabisa tunatakiwa kujua zaidi chuo kabla ya ku apply,lakini wakati mwingine hivi vyuo ni biashara hujipampa vizuri ili waonaekane wako vizuri na wakati unajiunga huwezi kuona uozo ukisha ingia ndo unauo..mimi kwa hili nalia naa TCU
 
Ni kweli kabisa tunatakiwa kujua zaidi chuo kabla ya ku apply,lakini wakati mwingine hivi vyuo ni biashara hujipampa vizuri ili waonaekane wako vizuri na wakati unajiunga huwezi kuona uozo ukisha ingia ndo unauo..mimi kwa hili nalia naa TCU
mi nafikiri TCU wanapewa rushwa na baadhi ya vyuo kama hivi,hiki chuo kimepigiwa kelele sana lakini TCU wamegeuka viziwi
 
mi nafikiri TCU wanapewa rushwa na baadhi ya vyuo kama hivi,hiki chuo kimepigiwa kelele sana lakini TCU wamegeuka viziwi

Kweli mkuu,kuna wakati unajiuliza hivi hii nchi inataasisi kweli zinazosimamia ubora wa bidhaa na huduma kweli. Sasa kwenye elimu ya juu TCU hawawezi kwepa hapo. Tanzania ni ya ajabu sana maana vyuo havina sifa ila vinaoperate sana na kumekuwa na wimbi kubwa la malecturers wageni kwenye hivyo vyuo kirahisirahisi tu.
Hao wanafunzi wa KIU ambao bado wanasoma wajiridhishe na ubora wa elimu wanayopata pamoja na kutafiti iwapo cozi wanazosoma hapo zinatambuliwa na wadau,vinginevyo wafanye maamuzi sahihi sasa.
 
Siyo kwamba TCU hawajui wanajua vizuri maana wakati wa mgomo miongoni mwa mambo tulio orodhesha ilikuwa pamoja na malecturer ...lakin TCU wakatupilia mbali...siyo siri niliona harufu ya rushwa siku ile
 
Na huu hapa si ndio mtihani wao
attachment.php
 
ni bora kuuliza kwa wazoefu before kufanya application ktk vyuo kama hiki..na vingne kama ST JOSEPH ARUSHA..ni hatari 2pu.
 
Ndugu zanguni haya yote husababishwa na mfumo mbovu wa serikali yetu. Kama serikali yetu ingekuwa makini kupitia wizara yake nyeti ya elimu huu upuuzi usingekuwepo haiwezekani hawa hawa serikali watupeleke kiu halafu at the end watuambie hiyo degree au dip haitambuliki what the meaning of that kiukweli inakela sana any way the freedom is coming tomorrow watanyooka tu
 
Back
Top Bottom