Ulaaniwe umasikini! Kuwa jobless umekuwa mzigo mzito sana kwangu

Dr Dre

JF-Expert Member
May 23, 2015
2,557
2,585
Maisha haya stress zisikie tu kwa mwenzako, hii siku ya tatu sipati uzingizi. Kuwa jobless sasa umekuwa mzigo mzito sana kwangu. Kumbe ndio maana vijana hujiingiza kwenye kutumia madawa ya kulevya, ulevi na hata ujambazi, kweli poverty is the source of all evil.

Nilipomaliza chuo kuna kakibanda nilikua najishkiza kama machinga kimevunjwa sasa imenibidi niende nyumbani kukaa bila kazi.

Nimeomba kazi mpaka sasa nimekata tamaa,nimejiuliza lamda CV yangu mbovu, nikasoma articles kwa articles jinsi ya kuandikà cv na barua nzuri lakini bado mambo ni bila bila sio intern wala kazi rasmi.

Sina wa kunipa mtaji wala wa kunipa connection, nikaona basi nikaombe kujitolea nipate hata nauli na ela ya kula tu napo bilabila .I know this too will end ,but when God .

Daah kweli ulaaniwe umasikini.
 
Maisha haya stress zisikie tu kwa mwenzako. Hii siku ya tatu sipati uzingizi.

Kuwa jobless sasa umekuwa mzigo mzito sana kwangu, daah kumbe ndio maana vijana hujiingiza kwenye kutumia madawa ya kulevya, ulevi na hata ujambazi, kweli poverty is the source of all evil.

Nilipomaliza chuo kuna kakibanda nilikua najishkiza kama machinga mama Samia kaja kakivunja sasa imenibidi niende nyumbani kaakiba kamekata, kazi nimeomba mapaka sasa nimekata tamaa.

Nimejiuliza labda CV yangu mbovu nikasoma articles kwa articles jinsi ya kuandikà CV na barua nzuri lakini bado mambo ni bila bila, sio intern wala kazi rasmi, sina wakunipa mtaji wala wa kunipa connection.

Nikaona basi nikaombe kujitolea nipate hata nauli na hela ya kula tu napo bilabila. I know this too will end, but when God . daah kweli ulaaniwe umasikini.
 
Maisha haya stress zisikie tu kwa mwenzako ,hii siku ya tatu sipati uzingizi ,kuwa jobless sasa umekuwa mzigo mzito sana kwangu ,daah kumbe ndio maana vijana hujiingiza kwenye kutumia madawa ya kulevya, ulevi na hata ujambazi, kweli poverty is the source of all evil .nilipomaliza chuo kuna kakibanda nilikua najishkiza kama machinga mama Samia kaja kakivunja sasa imenibidi niende nyumbani kaakiba kamekata ,kazi nimeomba mapaka sasa nimekata tamaa ,nimejiuliza lamda CV yangu mbovu ,nikasoma articles kwa articles jinsi ya kuandikà cv na barua nzuri lakini bado mambo ni bila bila ,sio intern wala kazi rasmi , sina wakunipa mtaji wala wa kunipa connection , nikaona basi nikaombe kujitolea nipate hata nauli na ela ya kula tu napo bilabila .I know this too will end ,but when God . daah kweli ulaaniwe umasikini.
mbn watu ni jobless na tumetulia tu? everything comes with time dont rush things bbrother. afterall kuna mda inabidi maisha ndo yakupamgie ufanye nn
 
mbn watu ni jobless na tumetulia tu? everything comes with time dont rush things bbrother. afterall kuna mda inabidi maisha ndo yakupamgie ufanye nn
Amka hapo ulipo. Huwezi ukawa jobless halafu umetulia tu. Labda kama upo kwa wazazi/ ndugu (watakuchoka very soon), unakula, unalala na pengine hata vocha ya kununua MB unapewa. Mtafutaji wa kweli hawezi akawa amemaliza masomo halafu eti akawa ametulia tu.
Anachokipitia muanzisha uzi ndicho kinamfanya aonekane elimu yake inamsaidia. Anaumiza kichwa atoke vipi pamoja na kuwa mambo bado ni magumu na ndio maana ameamua ku-share JF pia.
 
Maisha haya stress zisikie tu kwa mwenzako. Hii siku ya tatu sipati uzingizi.

Kuwa jobless sasa umekuwa mzigo mzito sana kwangu, daah kumbe ndio maana vijana hujiingiza kwenye kutumia madawa ya kulevya, ulevi na hata ujambazi, kweli poverty is the source of all evil.

Nilipomaliza chuo kuna kakibanda nilikua najishkiza kama machinga mama Samia kaja kakivunja sasa imenibidi niende nyumbani kaakiba kamekata, kazi nimeomba mapaka sasa nimekata tamaa.

Nimejiuliza labda CV yangu mbovu nikasoma articles kwa articles jinsi ya kuandikà CV na barua nzuri lakini bado mambo ni bila bila, sio intern wala kazi rasmi, sina wakunipa mtaji wala wa kunipa connection.

Nikaona basi nikaombe kujitolea nipate hata nauli na hela ya kula tu napo bilabila. I know this too will end, but when God . daah kweli ulaaniwe umasikini.
Mkuu, never loose hope. Siku njema inakuja hata kama kwa kuchelewa. Unachokipitia I can assure you nakifahamu sio kwa story bali kwa uhalisia wake.
Keep pushing towards success.
 
Maisha haya stress zisikie tu kwa mwenzako. Hii siku ya tatu sipati uzingizi.

Kuwa jobless sasa umekuwa mzigo mzito sana kwangu, daah kumbe ndio maana vijana hujiingiza kwenye kutumia madawa ya kulevya, ulevi na hata ujambazi, kweli poverty is the source of all evil.

Nilipomaliza chuo kuna kakibanda nilikua najishkiza kama machinga mama Samia kaja kakivunja sasa imenibidi niende nyumbani kaakiba kamekata, kazi nimeomba mapaka sasa nimekata tamaa.

Nimejiuliza labda CV yangu mbovu nikasoma articles kwa articles jinsi ya kuandikà CV na barua nzuri lakini bado mambo ni bila bila, sio intern wala kazi rasmi, sina wakunipa mtaji wala wa kunipa connection.

Nikaona basi nikaombe kujitolea nipate hata nauli na hela ya kula tu napo bilabila. I know this too will end, but when God . daah kweli ulaaniwe umasikini.

Take your cv. Put it into PDF upload kwenye email, kila siku asubuhi na jioni Sali kidogo tu 'Mungu mja wako naja mbele zako ni nauitaji wa kazi ni naomba nisaidie, halafu soma zaburi ya 23 yote.

Baada ya hapo, Nenda online search makampuni yote yanayohusiana na ulichosomea kwenye eneo lako, ukipata email zao, wewe andika barua nzuri, unakuwa una copy na ku paste na ku attach CV.

Fanya hivyo kila siku na tuma wastani wa email 50 asubuhi na jioni baada ya kufanya hayo maombi na kusoma hiyo zaburi kama ukiri wako, Hakika Mungu atakupa haja ya moyo wako au kukusaidia somehow.
 
We joblesa siku mbili tu umeanza kulia lia...!!
Uliza sisi ma senior jobless, tunaendeleza michongo tu unyama....!! Watu wabadii wanabless harakati tunatusua na kibunda cha mbet.
Komaa mwaisa, waatu wanaelewa harakati wanagoma kutupa michongo
 
Mzee depression is real. Wengine kama kupambana tunapambana kinyama tunaamka asubuhi pale karume kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 1:30 asubuhi migambo watakuja tunaondoka, hiyo ndio daily routine mitaji midogo hakuna tunachopata gharama ya maisha ni kubwaa akiba yote inateketea kwenye basic need. But mapambano ni muhimu japo nimeshakata tamaa kabisa
 
We joblesa siku mbili tu umeanza kulia lia...!!
Uliza sisi ma senior jobless, tunaendeleza michongo tu unyama....!! Watu wabadii wanabless harakati tunatusua na kibunda cha mbet.
Komaa mwaisa, waatu wanaelewa harakati wanagoma kutupa michongo
Nilikuwa sijui ujobles kama umeegawanyika Katika makundi...
Preliminary Jobless
Junior Jobless
Senior Jobless
Pro Senior Jobless
 
We joblesa siku mbili tu umeanza kulia lia...!!
Uliza sisi ma senior jobless, tunaendeleza michongo tu unyama....!! Watu wabadii wanabless harakati tunatusua na kibunda cha mbet.
Komaa mwaisa, waatu wanaelewa harakati wanagoma kutupa michongo
Mzarau Leo na umseme, kuna siku yatakukuta.
 
Mzee depression is real. Wengine kama kupambana tunapambana kinyama tunaamka asubuhi pale karume kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 1:30 asubuhi migambo watakuja tunaondoka, hiyo ndio daily routine mitaji midogo hakuna tunachopata gharama ya maisha ni kubwaa akiba yote inateketea kwenye basic need. But mapambano ni muhimu japo nimeshakata tamaa kabisa
Utakuta jitu linaongea kirahisi tu....eti usikate tamaaa, utafikiri yy anaweza

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom