Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,132
- 41,689
Habari,
Kwa kawaida, mechi zote zinazochezwa muda wa usiku inatakiwa taa pamoja na miundombinu mingine ziendeshwe kwa jenereta. Hii ni kwa kila mechi bila kutegemea ni aina gani ya mechi.
Azam tv wanatoa milioni 300 kwa ajili ya kila mechi za usiku hii ni kwa sababu Azam Media ndio wanaofanya uzalishaji upande wa video, pia serikali nao kupitia wizara ya michezo nao pia wanatoa pesa kwa ajili ya kufanikisha mechi zote zinazochezwa muda wa usiku. Tukumbuke kwamba hizo pesa zote ni kwa mechi moja.
Kiasi chote hiki ni kwa ajili ya mafuta ya kwenye jenereta mana taa zinazotumika pale zinatumia umeme mkubwa.
Najua kuna watu hapa wataniuliza inakuaje Azam Media wanatoa pesa zote hizo kwa mechi moja 🤣 kabla hamjaniuliza naombeni na mimi niwaulize swali 'mnajua Azam Media wanaingiza pesa kiasi gani kwa mechi moja ya kimataifa?
Je, unajua ni kwanini baada ya taa kuzima tanesco walisema wao hawahusiki wakati inaeleweka kabisa kuwa muda wa usiku ni jenereta linatumika? 😂😂
Sasa kinachotokea huko uwanjani ni kwamba,
uongozi wa uwanja badala ya kutumia jenereta kwa ajili ya mechi za usiku, wao wanatumia umeme wa tanesco afu pesa kwa ajili ya mafuta ya jenereta wanaweka mfukoni. Hii wanafanya kwa karibu kila mechi ila ndio hivyo siku hazilingani na ndio kwa bahati nzuri wanapewa surprise taa kuzima kutokana na hitilafu au umeme kuwa mdogo kutoka Tanesco.
Eh em Ngoja niishie hapa 😂😂
Siku njema wakuu
Kwa kawaida, mechi zote zinazochezwa muda wa usiku inatakiwa taa pamoja na miundombinu mingine ziendeshwe kwa jenereta. Hii ni kwa kila mechi bila kutegemea ni aina gani ya mechi.
Azam tv wanatoa milioni 300 kwa ajili ya kila mechi za usiku hii ni kwa sababu Azam Media ndio wanaofanya uzalishaji upande wa video, pia serikali nao kupitia wizara ya michezo nao pia wanatoa pesa kwa ajili ya kufanikisha mechi zote zinazochezwa muda wa usiku. Tukumbuke kwamba hizo pesa zote ni kwa mechi moja.
Kiasi chote hiki ni kwa ajili ya mafuta ya kwenye jenereta mana taa zinazotumika pale zinatumia umeme mkubwa.
Najua kuna watu hapa wataniuliza inakuaje Azam Media wanatoa pesa zote hizo kwa mechi moja 🤣 kabla hamjaniuliza naombeni na mimi niwaulize swali 'mnajua Azam Media wanaingiza pesa kiasi gani kwa mechi moja ya kimataifa?
Je, unajua ni kwanini baada ya taa kuzima tanesco walisema wao hawahusiki wakati inaeleweka kabisa kuwa muda wa usiku ni jenereta linatumika? 😂😂
Sasa kinachotokea huko uwanjani ni kwamba,
uongozi wa uwanja badala ya kutumia jenereta kwa ajili ya mechi za usiku, wao wanatumia umeme wa tanesco afu pesa kwa ajili ya mafuta ya jenereta wanaweka mfukoni. Hii wanafanya kwa karibu kila mechi ila ndio hivyo siku hazilingani na ndio kwa bahati nzuri wanapewa surprise taa kuzima kutokana na hitilafu au umeme kuwa mdogo kutoka Tanesco.
Eh em Ngoja niishie hapa 😂😂
Siku njema wakuu