Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,205
- 25,535
Nyinyi msimu uliopita mlipigwa 6-1 na Raja Casablanca; nje-ndani. Msimu huu bado hamjaumaliza.Aliyetoa nae suluhu kakukanda 3 kwa nunge?mlijua luza kapu hii?
Nyinyi msimu uliopita mlipigwa 6-1 na Raja Casablanca; nje-ndani. Msimu huu bado hamjaumaliza.Aliyetoa nae suluhu kakukanda 3 kwa nunge?mlijua luza kapu hii?
Kupata hivi vituko unavyoongea unabonyeza ngapi ngapi?Yanga inachokosa ni uzoefu wa CAF champion league lakini kwa sababu ya uongozi bora chini ya rais Hersi Said watawashangaza wengi robot finalise wanafika tena kwa pints 12 na kuongozq kundi
Ni kweliTusiongopeane wala kufarijiana kinafki ukweli ni kuwa mechi rahisi kwa Yanga ilikuwa ni hii
Kujipa hope kuwa utapata matokeo kwa Cr Belouzidad binafsi nafasi ya hilo kuwezekana naiona ni finyu sana.
Hata wenyewe sidhani kama wana hayo matarajio kwa asilimia kubwa. Focus ya Yanga kwa saizi naona ni bora kuweka nguvu kwenye NBC
Vipi kimejiri nini huko morocco na wanasemaje 😂Mnajifariji kwa matokeo ya Yanga,matokeo ya kesho siyajui ila nina uhakika baada ya mechi ya kesho misuso ya kutokwenda uwanjani itaendelea.
Duh...kumbe Yanga ina misimu miwili tu tangu ianzishwe?Ila huyu 5imba mwenzio aliye leta huu uzi anataka Yanga ipite? Kweli nyani haoni kundule........ Mnajifanya watabiri kwa timu isiyo wahusu, sasa kama sio kujifariji ni nini.
Sawa mimi nimetumia misimu miwili,kufika fainal za CAF Confederation,ww umetumia misimu minne kuishia robo ya tatu championship na moja shirikisho ambayo ukafanya vitendo vya aibu mpaka ukachoma nyasi za watu South Africa.
Wewe mwenye approach nzuri ina nini cha maana,mpaka sasa?
We subiria zamu yako usiku muanze kelele zenu mara hamumtaki Mangungu, mara msuse kwenda uwanjani na timu lenu bovu linacheza kam lina lazimishwa.Mda si mrefu mtasema kocha hafai,maana mechi moja mliokula tano na kocha mmemuondoa........
Walimu wana kazi sana mashuleni, kweli akili ni nywele ila wahenga hawakusema za eneo gani.Duh...kumbe Yanga ina misimu miwili tu tangu ianzishwe?
Kwa hiyo Yanga alikuwa hashiriki michuano ya kimataifa kipindi ambacho Simba alikuwa anazikisanya hizo pointi?Walimu wana kazi sana mashuleni, kweli akili ni nywele ila wahenga hawakusema za eneo gani.
adriz huku kuna risiti nyingi sana. Nikumbushe hivi kwenye shirikisho kuna timu ilifungwa goli na Yanga kwenye hatua ya makundi? Maana nashangaa huku kwenye kichaka walichokuwa wanakitegemea mwarabu bingwa wa Algeria halmanusura ale mkono kwa Yanga.Marumo gallants hayupo kwenye group letu mkuu tupate walau ahueni....Hali Tete....
Ni kweli yanga ni mdogo sanaGamondi alikuwa anasafiria upepo wa Yanga ya Nani na upepo umeisha.
Ila Yanga ajitahidi tu awe anashika nafasi ya Pili au ya 3 ktk ligi ili akacheze shirikisho. Huku Ndiyo saizi yao.
Yanga Ni wadogo Sana mwenye klabu bingwa.
Kazi kukimbia hovyo uwanjani bila mipango Eti Ndiyo kuupiga mwingi.
Gamond hamna kocha mle!