Ukweli ulio nyuma ya sakata la Makonda kupewa rushwa. Rais bado hajalielewa hili mpaka leo?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Nakumbuka moja za ahadi za mwana Tanu kuna moja ilikuwa inasema sitopokea wala kupokea Rushwa.miaka ile tunasoma elimu ilikuwa elimu kweli "when education was Education was Education"

Mwaka Jana liliibuka suala flan la Ardhi na mam mmoja alikuwa waziri wa ardhi n.k anafahmika kwa jina la Tibaijuka naye alijikuta anaropoka kuwa alipewa rushwa Million Kadhaa akakataa. na suala hilo likaishia hapo hapo pasipo vyombo vya dola kufuatilia kuwa ni akina nani hao wana ujasiri wa kwenda kumpa Rushwa waziri na wakaondoka salama kabisa pasipo shida zaidi ya yale maneno ya waziri kuwa alikataa rushwa.

Juzi juzi hapa ameibuka ndugu mwingine nimeambiwa ni mkuu wa Mkoa wa DSM naye anasema aliletewa Rushwa na watu mbalimbali za Tsh Mil 5 kila mmoja katika wale waliokuja akakataa na akawaacha waendoke nazo salama salimini.

Nikawaza ukiona mwanaume anakufuata na kukwambia anataka we na uhusiano na wewe mwanamke akakupa pesa kama kukulipa basi ujue amekudharau sana na ameshafaham udhaifu wako ni pesa au kuna watu wameshamwambia kuwa wewe huwa ukihongwa huna hiyana.

Je hawa walimofuata Bwana makonda kumpa rushwa walipata wapi ujasiri huu wa kwenda kumpa rushwa? walijuaje kuwa atahitaj zile pesa ana kama hatoridhika nazo basi atakataa tu?

Je tumejiuliza zaidi? kuwa pengine jamaa walikuwa na dau dogo mhusika akawaambia wakajipange walivyoondoka hawakurudi. alipoona mambo kama hayaeleweki yeye Mhusika akaona kama kuna watu wamemzunguka wamechukua lile dau ambalo yeye aliliona dogo na hapo akajifanya alikataa rushwa?

Kwanini hakuwashtaki siku ile ya kwanza? je haikuwezekana kuwasiliana na takukuru au polisi kuwadhibiti hawa watoa rushwa ikiwa makonda alikuwa na nia njema ya kukataa rushwa?

Hofu yake na ghadhabu za kuona kuwa jamaa hawakwenda kuongeza dau na badala yake pengine wameamua kucheza dili na polisi ndizo zilizomfanya makonda atakamke yale maneno mbele ya waziri mkuu .bila hivyo pengine asingetamka na tusingejua kuna watu walienda kumpa rushwa.

Nilikuwa nimekaa hapa chini kivulini ndo nikawa nawaza haya na mara nimeamshwa na sauti ya mtu anataka nisogee ili apitishe mkokoteni wake. naamka naendelea na safari ya kuokota makopo. sisi machizi tunazunguka jiji lote letu. tunakutana na omba omba wengi tu,machangudoa na makaka poa pia. sijui lini hawa wataondolewa jijini kama ilivyosemwa hapo mwanzo.

"HATUKUUANIKA, WACHA TUUTWANGE MBICHI"
 
Nakumbuka moja za ahadi za mwana Tanu kuna moja ilikuwa inasema sitopokea wala kupokea Rushwa.miaka ile tunasoma elimu ilikuwa elimu kweli "when education was Education was Education"
Mwaka Jana liliibuka suala flan la Ardhi na mam mmoja alikuwa waziri wa ardhi n.k anafahmika kwa jina la Tibaijuka naye alijikuta anaropoka kuwa alipewa rushwa Million Kadhaa akakataa. na suala hilo likaishia hapo hapo pasipo vyombo vya dola kufuatilia kuwa ni akina nani hao wana ujasiri wa kwenda kumpa Rushwa waziri na wakaondoka salama kabisa pasipo shida zaidi ya yale maneno ya waziri kuwa alikataa rushwa.

Juzi juzi hapa ameibuka ndugu mwingine nimeambiwa ni mkuu wa Mkoa wa DSM naye anasema aliletewa Rushwa na watu mbalimbali za Tsh Mil 5 kila mmoja katika wale waliokuja akakataa na akawaacha waendoke nazo salama salimini.

nikawaza ukiona mwanaume anakufuata na kukwambia anataka we na uhusiano na wewe mwanamke akakupa pesa kama kukulipa basi ujue amekudharau sana na ameshafaham udhaifu wako ni pesa au kuna watu wameshamwambia kuwa wewe huwa ukihongwa huna hiyana. Je hawa walimofuata Bwana makonda kumpa rushwa walipata wapi ujasiri huu wa kwenda kumpa rushwa? walijuaje kuwa atahitaj zile pesa ana kama hatoridhika nazo basi atakataa tu?

je tumejiuliza zaidi? kuwa pengine jamaa walikuwa na dau dogo mhusika akawaambia wakajipange walivyoondoka hawakurudi. alipoona mambo kama hayaeleweki yeye Mhusika akaona kama kuna watu wamemzunguka wamechukua lile dau ambalo yeye aliliona dogo na hapo akajifanya alikataa rushwa? kwanini hakuwashtaki siku ile ya kwanza? je haikuwezekana kuwasiliana na takukuru au polisi kuwadhibiti hawa watoa rushwa ikiwa makonda alikuwa na nia njema ya kukataa rushwa?

hofu yake na ghadhabu za kuona kuwa jamaa hawakwenda kuongeza dau na badala yake pengine wameamua kucheza dili na polisi ndizo zilizomfanya makonda atakamke yale maneno mbele ya waziri mkuu .bila hivyo pengine asingetamka na tusingejua kuna watu walienda kumpa rushwa.

nlikuwa nimekaa hapa chini kivulini ndo nikawa nawaza haya na mara nimeamshwa na sauti ya mtu anataka nisogee ili apitishe mkokoteni wake. naamka naendelea na safari ya kuokota makopo. sisi machizi tunazunguka jiji lote letu. tunakutana na omba omba wengi tu,machangudoa na makaka poa pia. sijui lini hawa wataondolewa jijini kama ilivyosemwa hapo mwanzo.

"HATU KUUANIKA, WACHA TUUTWANGE MBICHI"
Ana hoja za kujibu angekua mpinzani wangesema alete ushahidi wa hao watu waliotaka kumhonga. KUTAKA KUMHONGA MKUU WA MKOA NI KOSA, WAKATATWE HARAKA NAKUFUKISWA MAHAKAMANI.
 
Makonda mla rushwa. Magufuli ajue, kama hajui, kuwa makonda ni mla rushwa. Hahitaji ushahidi zaidi.
 
makonda anajulikana kwa kura rushwa sema anabebwa mpaka sasa magufuli anajichora na kuonekana raisi dhaifu kama aliyemtangulia
 
makonda anajulikana kwa kura rushwa sema anabebwa mpaka sasa magufuli anajichora na kuonekana raisi dhaifu kama aliyemtangulia
Acha ambebe hadi alale mgongoni werevu wameshajua maana!! Mwerevu haambiwi maana!! Acha aendelee tu time will tell!
 
Akitaka kupewa rushwa na akakataa anayo nafasi ya kusema tu...!! Ni haki yake, sio yakowrwr au mimi...!!

Wapo wanaopewa wanapokea na hawasemi hawawezi kuwa saw ktk jamii na wale wanaokataa na kusema....!!!

Mbona ni rahisi sana alafu mna complicate
 
Nakumbuka moja za ahadi za mwana Tanu kuna moja ilikuwa inasema sitopokea wala kupokea Rushwa.miaka ile tunasoma elimu ilikuwa elimu kweli "when education was Education was Education"

Mwaka Jana liliibuka suala flan la Ardhi na mam mmoja alikuwa waziri wa ardhi n.k anafahmika kwa jina la Tibaijuka naye alijikuta anaropoka kuwa alipewa rushwa Million Kadhaa akakataa. na suala hilo likaishia hapo hapo pasipo vyombo vya dola kufuatilia kuwa ni akina nani hao wana ujasiri wa kwenda kumpa Rushwa waziri na wakaondoka salama kabisa pasipo shida zaidi ya yale maneno ya waziri kuwa alikataa rushwa.

Juzi juzi hapa ameibuka ndugu mwingine nimeambiwa ni mkuu wa Mkoa wa DSM naye anasema aliletewa Rushwa na watu mbalimbali za Tsh Mil 5 kila mmoja katika wale waliokuja akakataa na akawaacha waendoke nazo salama salimini.

Nikawaza ukiona mwanaume anakufuata na kukwambia anataka we na uhusiano na wewe mwanamke akakupa pesa kama kukulipa basi ujue amekudharau sana na ameshafaham udhaifu wako ni pesa au kuna watu wameshamwambia kuwa wewe huwa ukihongwa huna hiyana.

Je hawa walimofuata Bwana makonda kumpa rushwa walipata wapi ujasiri huu wa kwenda kumpa rushwa? walijuaje kuwa atahitaj zile pesa ana kama hatoridhika nazo basi atakataa tu?

Je tumejiuliza zaidi? kuwa pengine jamaa walikuwa na dau dogo mhusika akawaambia wakajipange walivyoondoka hawakurudi. alipoona mambo kama hayaeleweki yeye Mhusika akaona kama kuna watu wamemzunguka wamechukua lile dau ambalo yeye aliliona dogo na hapo akajifanya alikataa rushwa?

Kwanini hakuwashtaki siku ile ya kwanza? je haikuwezekana kuwasiliana na takukuru au polisi kuwadhibiti hawa watoa rushwa ikiwa makonda alikuwa na nia njema ya kukataa rushwa?

Hofu yake na ghadhabu za kuona kuwa jamaa hawakwenda kuongeza dau na badala yake pengine wameamua kucheza dili na polisi ndizo zilizomfanya makonda atakamke yale maneno mbele ya waziri mkuu .bila hivyo pengine asingetamka na tusingejua kuna watu walienda kumpa rushwa.

Nilikuwa nimekaa hapa chini kivulini ndo nikawa nawaza haya na mara nimeamshwa na sauti ya mtu anataka nisogee ili apitishe mkokoteni wake. naamka naendelea na safari ya kuokota makopo. sisi machizi tunazunguka jiji lote letu. tunakutana na omba omba wengi tu,machangudoa na makaka poa pia. sijui lini hawa wataondolewa jijini kama ilivyosemwa hapo mwanzo.

"HATUKUUANIKA, WACHA TUUTWANGE MBICHI"
Wewe iko na akili mingi sana.
 
Daah kweli hii tafakuri ni sahihi, katika ualisia angetoa taarifa mapema kwa vyombo vinavyousika na rushwa.hapa kondacta alikuwa kwenye mchezo wa kombolera
 
Ila kwa vile akihongwa 50 basi 10 anapeleka kwa majeruhi wa Scopioni basi acha tunyamaze tuu.
Na sasa anatafuta rushwa kubwa zaidi ili ajenge ofisi za Bakwata.
 
Chizi kweli wewe chizi haswaa, RC siyo lazima awaite TAKUKURU kuwakamata wale waliotaka kumpa Rushwa, yeye kama kiongozi wa Serikali ngazi ya Mkoa anaweza kuamua vinginevyo ama kuwaitia Polisi au kuita TAKUKURU, au kuwadharau na kuwaonya kwa mdomo, au kuwashitaki mbele ya Wananchi kupitia vyombo vya habari tena mbele ya Waziri Mkuu kama alivyofanya. Yote ni sawa, na tanafaa. Kwako wewe kutokana na roho yakichadema ndiyo maana unatafuta kick ta kujaribu kutafuta umaarufu. Chizi ni chizi tu mpaka siku ya kiama.
 
Angalia sana bwana Chizi maharifa utarogwa tena uwe mwendawazimu maharifa [HASHTAG]#chizi[/HASHTAG] maaarifa
 
Kichaa karogwa tena. Ha ha ha.....ila alichowaza ni sawa. Hapa kuna mambo ya kuyaangalia kwa kina.



Angalia sana bwana Chizi maharifa utarogwa tena uwe mwendawazimu maharifa [HASHTAG]#chizi[/HASHTAG] maaarifa




Angalia sana bwana Chizi maharifa utarogwa tena uwe mwendawazimu maharifa [HASHTAG]#chizi[/HASHTAG] maaarifa
 
Back
Top Bottom