Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

Mkuu ulichosema ni kweli kabisa, sababu za huu MUUNGANO zilikuwa zimeegemea katika siku moja kuiona THE UNITED STATES OF AFRICA (USA) na mpango wa Nyerere, Nkuruma na Gaddafi ilikuwa kuziona nchi zinazokaribiana kikanda zinaungana kwanza kurahisisha muunganiko wa Afrika nzima hapo baadae, ndiomana unaona baada ya lengo hilo kufa na kubaki nadharia tu miaka yote hii zaidi ya 60 hakuna maelewano mazuri ya kijumuiya EAC, ECOWAS, SADC's etc kila nchi inafanya kitu inachoona kina faida nacho.
Malengo ya wazee na vijana wa sasa ni tofauti, vijana hawaoni umuhimu wa huu muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiwa Zanzibar ni sovereign country while Tanganyika is not. Kama ni MUUNGANO bhasi kuwe na serikali 3 au moja tu itakayoiwakilisha TANZANIA.
Huu si muungano ni uvamizi. Nyerere kwa kuwatumia waZanzibara akina Jumbe, Kisasi na Kina Okello ni. Alimkamata Waziri Mkuu Shamte mpemba wa Ole na akamfunga jela ya Tanganyika pamoja na Baraza lake la mawaziri kwa miaka zaidi ya kumi , bila kuwafikisha mahakamani.
Hapo kuna udugu na uafrika??? . Msidanganywe na CCM . Hakuna cha mwarabu Zanzibar hizo ni mbinu Za Laanatullah Nyerere.
 
Huu si muungano ni uvamizi. Nyerere kwa kuwatumia waZanzibara akina Jumbe, Kisasi na Kina Okello ni. Alimkamata Waziri Mkuu Shamte mpemba wa Ole na akamfunga jela ya Tanganyika pamoja na Baraza lake la mawaziri kwa miaka zaidi ya kumi , bila kuwafikisha mahakamani.
Hapo kuna udugu na uafrika??? . Msidanganywe na CCM . Hakuna cha mwarabu Zanzibar hizo ni mbinu Za Laanatullah Nyerere.
Kipi cha muhimu kufanyika sasa ili kurekebisha hali na kwa faida ya kila mmoja?
 
Zenji inatakiwa ivunjwe vunjwe kusiwe na Rais , zanzibar yote iwe na mwenyekiti mmoja tu wa mtaa, hatuwezi kuharibu rasilimali kulipa Rais wa zanzibar mawaziri na wabunge wakati ukipiga filimbi nchi nzima inaskia.
 
Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.

Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.

Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Kwa taarifa yako bara inabidi wafanye hivyo kwakua hicho kisiwa watu wengi sn wanakihitaji tena kwa Pesa nyingi sn mmoja wapo ni muarabu yaani anaweza igeuza dubai ya afrika mashariki hio,pia kiusalama km Znz ikiwa chini ya mtu mwingine nihatari ndio mana Nyerere alitamka makao makuu yawe Dodoma’s kwakua route zakutoka km nchi imevamiwa ninyingi kuliko Dar.
Bara hana jinsi they have to do that at any cost
 
Mkuu ulichosema ni kweli kabisa, sababu za huu MUUNGANO zilikuwa zimeegemea katika siku moja kuiona THE UNITED STATES OF AFRICA (USA) na mpango wa Nyerere, Nkuruma na Gaddafi ilikuwa kuziona nchi zinazokaribiana kikanda zinaungana kwanza kurahisisha muunganiko wa Afrika nzima hapo baadae, ndiomana unaona baada ya lengo hilo kufa na kubaki nadharia tu miaka yote hii zaidi ya 60 hakuna maelewano mazuri ya kijumuiya EAC, ECOWAS, SADC's etc kila nchi inafanya kitu inachoona kina faida nacho.
Malengo ya wazee na vijana wa sasa ni tofauti, vijana hawaoni umuhimu wa huu muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiwa Zanzibar ni sovereign country while Tanganyika is not. Kama ni MUUNGANO bhasi kuwe na serikali 3 au moja tu itakayoiwakilisha TANZANIA.
Sahihi sana mkuu.
 
Kwa taarifa yako bara inabidi wafanye hivyo kwakua hicho kisiwa watu wengi sn wanakihitaji tena kwa Pesa nyingi sn mmoja wapo ni muarabu yaani anaweza igeuza dubai ya afrika mashariki hio,pia kiusalama km Znz ikiwa chini ya mtu mwingine nihatari ndio mana Nyerere alitamka makao makuu yawe Dodoma’s kwakua route zakutoka km nchi imevamiwa ninyingi kuliko Dar.
Bara haja jinsi they have to do that at any cost
Usalama kaunganeni na Burundi, silaha zimejaa huko, halafu hawa mafisadi mnaojifanya kuwakamata muwashotaki mahakamani
 
Zenji inatakiwa ivunjwe vunjwe kusiwe na Rais , zanzibar yote iwe na mwenyekiti mmoja tu wa mtaa, hatuwezi kuharibu rasilimali kulipa Rais wa zanzibar mawaziri na wabunge wakati ukipiga filimbi nchi nzima inaskia.
Kwa maneno hayo tutauza mpaka makalio yenu mbali na Loliondo
 
Acha kupotosha watu mkuu ww huijui Zanzibar.

Ukitoa ivo viazi, vitungu maji na nyanya vitu karibia vyote Zanzibar wanaagaza nje. Zanzibar ni kawaida tu kukuta watu wanatumia vitunguu swaum ama mchele kutoka India.

Yaani Zanzibar vitu karibia vyote unavovijua ww wanaagiza nje ni asilimia chache sana ndo wananunua bara

Na kuhus gharama za ulinzi sio kweli kwamba Zanzibar itashindwa kusimamia wanaa vikosi vya SMZ vinalipwa na Serekali ya Zanzibar na kikosi cha KMKM mshahara wake wanatofautiana kdogo san na Hao askar wa Muungano.
 
Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.

Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.

Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Umeongea ukweli mtupu! Hiyo mizanzibari yenyewe mdomo mrefu kupayukapayuka wakiwatumainia waarabu!
 
Unasema Zanzibar ipi hapa?
Unasema Zanzibar ya kipindi cha ukoloni na mapinduzi ambayo ilikuwa na population ndogo huku ikiwa na bandari nono, karafu ya kutishia dunia na biashara za kimataifa?

Hiyo Zanzibar haipo tena, kwa sasa tuna Zenji ya utalii, upagani mwingi, utitiri wa vijana wa ovyo ovyo na umaskini kama wa Tanganyika. Zanzibar hii ya sasa, bila ukupe wa kutegemea Tanganyika hatuwezi kutoboa.
bandari nono imekwenda wapi, na nani aliyesababisha iwe hivyo? huo upagani sijui athari yake inakuwa nini siwezi kutoa comment kwa hilo. Ongezeko hilo la population limesababishwa na nani? Na hiyo karafuu ni kweli haina thamani? Labda tujiulize kwa nini wenzetu akina Mauritius wanaweza sisi tusiweze? Mauritius walikuwa na uchumi wa kutegema sukari (miwa) lakini sasa wako juu kiuchumi kwa utalii, kwa hivyo tegemeo la karafuu siyo hoja.

Zanzibar haipo tena kwa sababu imefanywa isiwepo tena kwa vijana kujifanya 'wazee wetu wamepindua' kwa hivyo tusifanye kazi, lakini ingekuwa hakuna wa kutupa vya bure tungepambana kisawa sawa.

Bado nasema inawezekana sana, kwani hivo vyakula vya wabara wao hawatupi bure wanatuuzia kama wafanyabiashara wengine wa kutoka Kenya .
 
Tangu 1964 mpaka sasa Zanzibar ni nchi, na hakuna nchi iliyozuiwa au inayozuiwa kuja kuwekeza mega projects Zanzibar hata sasa. Kwa kifupi suala la uwekezaji sio jambo la muungano. Sasa jiulize, kwanini hao unaosema hawajaja mpaka sasa, kwanini uamini kuwa muungano ukifa watakimbilia kuja kuwekeza Zanzibar?

Kuhusu pesa za mtaji wa uanzishwaji wa BOT zilizotolewa na Zanzibar tulishajibu humu JF. Labda turudie tu kusema.
Thamani ya zile pesa za mtaji ni kiasi gani kiasi cha kuamini ni pesa nyingi?
Mkataba ulitaka Zanzibar ilipwaje fidia?
Zanzibar ni lini tuliwahi kutoa hata senti tano ya uendeshwaji wa BOT?
Faida za kuanzishwa kwa BOT Zanzibar tutawezaje kuzirudisha ikiwa tutadai turudishiwe mtaji wetu?
Hasara ambayo mara kwa mara uliikumba BOT kiasi cha kuathiri mtaji wake wa awali zinafidiaje mtaji wa Zanzibar?
Zanzibar tulitoa lini tena kiasi kingine cha mtaji kuweza kuifufua BOT wakati ilipokuwa imedorora?

Kwa sasa ukanda wa Afrika mashariki Bandari zipo nyingi na zimeendelezwa. Zanzibar hatuna tena upekee wa bandari, tumedorora. Hata sasa bandari iko chini ya SMZ, haihitaji muungano uvunjike ili ipanuke, haina msaada mkubwa sana kama zamani.

Kuhusu undugu, biashara na ushirikiano wa Zanzibar na bara (sio pwani tu), umekuwepo kabla ya ukoloni, wakati wa ukoloni, wakati wa uhuru, kwenye huu muungano na hata baada ya huu muungano, haina issue yoyote kwenye hii hoja yangu. Hapa tunazungumzia jinsi muungano unavyotusitiri wazenji kupitia pesa za wavuja jasho wa kitanganyika.
Sasa mbona unajifanya mzanzibar? Kwa hiyo hamna logic unayongea hapo.

Pesa za BOT ni mali ya zenji maana hamkuwa na mtaji wa kuanzisha ,pesa zinazopelekwa zenji lazima kwanza zifike Bra ndio wapewe fungu kaulize pesa za covid19 ili kunusuru sekta ya utalii zanzibar ila zilikuja kutumika TZ.

Znzibar ni nchi kamili wana kila sekta, hawfanani na watanganyika kiasili wala utamaduni except watu wa pwani..Tz inanunua umeme kutoka nje hata zenji ingeshanunua kitambo.

Ulisikia wapi zenji wameomba muungano hata saini pale mmefoji kulazimisha, ishu ya kuunganisha ilikuwa ni maagizo ya Malkia ELizabeth kwa Nyerere ili kungeza ulinzi bahata mbaya mpaka leo wazenji hawafuati tamadnu zenu.
 
Hakuna Mzanzibar anayeponda uislam au Zanzibar

Hata wewe pia inawezekana sio Mmeru
tatizo mnakariri. kwani kuna ubaya gani kukosoa nasaba yako? nina rafiki yangu aliyenikaribisha dar mara ya kwanza ni mzaramo, kutwa alikua akiponda mila za kabila lake. kwa hiyo naye sio mzaramo kwa mantiki kwamba anakosoa dosari anazoziona ktk jamii anayotoka?

mimi ni mmeru na mbona ninapinga ujinga wa vijana wa kwetu uhuni wa usela mavi? kwa hiyo kwa sababu ujinga unafanywa kwetu basi nisiukosoe? akili za wapi? tatizo lenu raia wa ukimani mna falsafa za kijinga ndio kama yale ya kusema mkubwa hakosei. ujinga mtupu.
 
Wanasem Wazenji kwamba wakipewa uhuru wao, watawaita Waarabu wa Dubai na Oman wapabadirishe hapo pawe kama Dubai...

Sasa akili zao zilivyo fupi, chakula kinatoka Bara.. na Wazenji wengi hawana kazi za maana nikimaanisha hakuna mzunguko wa hela unaoeleweka ukiweka pembeni shughuli za Utalii na Uvuvi.

Mazao yao hayo ya karafuu, mwani etc havitoshi kuingiza kipato kwa mtu mmoja mmoja.

Ikumbukwe karibu nusu yao wapo huku Bara.. wakipewa uhuru wao na sisi tunawatimua huku warudi kwao hivyo overpopulation itakuwepo na ufinyu wa resources lazima uzidi kuwadidimiza.

I wish siku ifike kila mtu abebe chake.
Kwa mfano wakichimba mafuta inakuwaje? Tukumbuke pia Zanzibar hawana mambo ya kifisadi kama sisi Tanganyika.
 
Mchaga huyo hata huyu MK254 nae sio mkenya ni mchaga , huyu Kaka yake shetani ni mchaga pia wasikusumbue..Wote wakimbizi kwao hawapataki wanazunguka kweny mikoa ya watu kama ngedere. Wanaenda tu kufanya makafara December.

1714820367016.png
1714820367016.png
1714820367016.png
1714820367016.png

Sikujua kama huyu MK254 nae ni mchaga nilijua ni mkenya ila alikuwa ananistajabisha sana mambo yake
 
Umeongea ukweli mtupu! Hiyo mizanzibari yenyewe mdomo mrefu kupayukapayuka wakiwatumainia waarabu!
Kwani hivi sasa mwarabu wetu Wazanzibari ni Mtanganyika? Mnaumia kitu gani hamshughuliki na nchi yenu Tanganyika
Ambayo imeoza kila sehemu?
 
Back
Top Bottom