Kama vipi waachieni ziwa lao, hii yawezekana ni strategy ya wamagharibi wameona hawawezi coz chaos kwa njia ya ndani sasa wanatumia vibaraka.
After all, hata tukiingia vita nao hiyo cost itakayotokea hapo ni kubwa mno kuja kurudishwa na ziwa nyasa tunayopigania itakuwa zaidi ya miaka 500. Uzuri hawawezi weka border yao ufukweni ni lazima waiweke majini, kwa hiyo kuchota maji na kuiba samaki tutaiba tu kama kawaida.
Hii pia inaweza kuwa na choko choko kutoka kwa nchi jirani za east afrika, baada ya kukataa ile pact yao ya ulinzi sasa wamepitia kule ili waje kukuambieni si tulikwambia ukakataa packt yetu ya ulinzi. Kimsingi TZ ikipigana na malawi itakuwa inapigana na nchi karibu zote za afrika mashariki. Cha msingi viongozi kama hawana treaty ya karatasi ya ku-defend tunachohitaji basi wajifanye tu kusahau waipotelezee mbali hiyo issue.
After all, hata tukiingia vita nao hiyo cost itakayotokea hapo ni kubwa mno kuja kurudishwa na ziwa nyasa tunayopigania itakuwa zaidi ya miaka 500. Uzuri hawawezi weka border yao ufukweni ni lazima waiweke majini, kwa hiyo kuchota maji na kuiba samaki tutaiba tu kama kawaida.
Hii pia inaweza kuwa na choko choko kutoka kwa nchi jirani za east afrika, baada ya kukataa ile pact yao ya ulinzi sasa wamepitia kule ili waje kukuambieni si tulikwambia ukakataa packt yetu ya ulinzi. Kimsingi TZ ikipigana na malawi itakuwa inapigana na nchi karibu zote za afrika mashariki. Cha msingi viongozi kama hawana treaty ya karatasi ya ku-defend tunachohitaji basi wajifanye tu kusahau waipotelezee mbali hiyo issue.