Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

Kama vipi waachieni ziwa lao, hii yawezekana ni strategy ya wamagharibi wameona hawawezi coz chaos kwa njia ya ndani sasa wanatumia vibaraka.

After all, hata tukiingia vita nao hiyo cost itakayotokea hapo ni kubwa mno kuja kurudishwa na ziwa nyasa tunayopigania itakuwa zaidi ya miaka 500. Uzuri hawawezi weka border yao ufukweni ni lazima waiweke majini, kwa hiyo kuchota maji na kuiba samaki tutaiba tu kama kawaida.

Hii pia inaweza kuwa na choko choko kutoka kwa nchi jirani za east afrika, baada ya kukataa ile pact yao ya ulinzi sasa wamepitia kule ili waje kukuambieni si tulikwambia ukakataa packt yetu ya ulinzi. Kimsingi TZ ikipigana na malawi itakuwa inapigana na nchi karibu zote za afrika mashariki. Cha msingi viongozi kama hawana treaty ya karatasi ya ku-defend tunachohitaji basi wajifanye tu kusahau waipotelezee mbali hiyo issue.
 
Kama vipi waachieni ziwa lao, hii yawezekana ni strategy ya wamagharibi wameona hawawezi coz chaos kwa njia ya ndani sasa wanatumia vibaraka.

After all, hata tukiingia vita nao hiyo cost itakayotokea hapo ni kubwa mno kuja kurudishwa na ziwa nyasa tunayopigania itakuwa zaidi ya miaka 500. Uzuri hawawezi weka border yao ufukweni ni lazima waiweke majini, kwa hiyo kuchota maji na kuiba samaki tutaiba tu kama kawaida.

Hii pia inaweza kuwa na choko choko kutoka kwa nchi jirani za east afrika, baada ya kukataa ile pact yao ya ulinzi sasa wamepitia kule ili waje kukuambieni si tulikwambia ukakataa packt yetu ya ulinzi. Kimsingi TZ ikipigana na malawi itakuwa inapigana na nchi karibu zote za afrika mashariki. Cha msingi viongozi kama hawana treaty ya karatasi ya ku-defend tunachohitaji basi wajifanye tu kusahau waipotelezee mbali hiyo issue.

Hiyo tabia ya watanzania kukubali yaishe ndiyo imefanya Tanzania isiendelee kwani viongozi wamekuwa wakiiba mali za umma au kuuza raslimali za nchi kwa kujua kuwa watu watapiga kelele kidogo tu na baadaye watakubali yaishe na kuniacha ninakula nilichoiba!!! Tulisikia kelele za Loliondo miaka ya tisini lakni leo takribani miaka 20 bado waarbu wanapakia Twiga kwenda uarabuni sisi tulishakubali yaishe.
 
Kama vipi waachieni ziwa lao, hii yawezekana ni strategy ya wamagharibi wameona hawawezi coz chaos kwa njia ya ndani sasa wanatumia vibaraka.

After all, hata tukiingia vita nao hiyo cost itakayotokea hapo ni kubwa mno kuja kurudishwa na ziwa nyasa tunayopigania itakuwa zaidi ya miaka 500. Uzuri hawawezi weka border yao ufukweni ni lazima waiweke majini, kwa hiyo kuchota maji na kuiba samaki tutaiba tu kama kawaida.

Hii pia inaweza kuwa na choko choko kutoka kwa nchi jirani za east afrika, baada ya kukataa ile pact yao ya ulinzi sasa wamepitia kule ili waje kukuambieni si tulikwambia ukakataa packt yetu ya ulinzi. Kimsingi TZ ikipigana na malawi itakuwa inapigana na nchi karibu zote za afrika mashariki. Cha msingi viongozi kama hawana treaty ya karatasi ya ku-defend tunachohitaji basi wajifanye tu kusahau waipotelezee mbali hiyo issue.

nina wasiwasi na uraia wako.
 
Hakuna mgogoro wa mpaka Tanzania na Malawi-Serikali

Na Mwandishi Wetu,Dodoma

NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rita Mlaki, aliliambia Bunge jana kuwa hakuna mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi unaosababishwa na Ziwa Nyasa.

Alisema wameshakaa vikao mara mbili na viongozi wa serikali ya Malawi kuzungumzia kuhusu mipaka na kuridhika kuwa hakuna tatizo hilo kati ya nchi hizo.

Waziri Mlaki alisema wanatarajia kukaa kikao cha tatu ili kupata tafsiri ya namna mipaka inavyogawanywa katika maeneo ya ziwa na bahari.

Alikuwa kijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mkwajuni (CCM), Mzee Ngwali Zuberi, aliyetaka kujua lini serikali za Tanzania na Malawi zitakaa kutatua tatizo la mipaka kati ya nchi hizo.

Swali hilo lilitokana na swali la msingi la Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kwa Waziri wa Maji, aliyetaka kujua serikali imeshindwaje kunadi jina la Ziwa Nyasa ili kuondoa utata wa Malawi inayodai kuwa ziwa hilo lote ndani ya nchi yao.

Naibu Waziri wa Maji, Shamsa Mwangunga akijibu swali la Mbunge Nyalandu alisema Tanzania ina uhusiano mzuri na Malawi kwa muda mrefu na kwamba ahaina mgogoro kuhusu ziwa hilo.

Hata hivyo, alikiri kuwa sheria za wakati wa wakoloni ndiyo chimbuko la Ziwa Nyasa na kwamba mkataba wa Anglo German ulibainisha kwamba ziwa hilo ni milki ya Malawi kinyume na taratibu za sasa za mipaka inayopita majini, inayotoa fursa sawa kwa nchi zinazotenganishwa kwa ziwa au bahari, kwamba mpaka upitie katikati ya ziwa au bahari husika.

Alisema Tanzania na Malawi zinaendelea kutumia ziwa hilo kwa shughuli za kila siku bila ya mgogoro wa aina yoyote na pia zinaendelea kubuni miradi ya pamoja ya kuendeleza Bonde la Ziwa Nyasa.

Utamaduni wa kujibu maswali kwa mazoea unaletaga mkanganyiko kama huu........haiitaji uwe profesor kujua kuna mgogoro wa mipaka kati yetu na Malawi. kipi ni kipi kati ya Membe anayesema Taifa liko tayari kwa vita au hawa mawaziri........

 
Hiyo tabia ya watanzania kukubali yaishe ndiyo imefanya Tanzania isiendelee kwani viongozi wamekuwa wakiiba mali za umma au kuuza raslimali za nchi kwa kujua kuwa watu watapiga kelele kidogo tu na baadaye watakubali yaishe na kuniacha ninakula nilichoiba!!! Tulisikia kelele za Loliondo miaka ya tisini lakni leo takribani miaka 20 bado waarbu wanapakia Twiga kwenda uarabuni sisi tulishakubali yaishe.

Hiyo unayoongelea ni tofauti kidogo, kama umenisoma vizuri tangu mwanzo, ni kuwa tuchukue facts zetu tusonge mahakamani tukishindwa huko, basi issue tuipotezee kupigana vita saizi sio viable soln. Hilo ziwa, halina thamani kama thamani tutakayopoteza kwa vita hiyo.

Kuna mataifa yanaipigia jaramba TZ kuhakikisha wanachukua mali bure kabisa ama wanawakalia kwa mabavu. Ama kwa namna nyingine wanarudisha ukoloni kwa mabavu angalia walivyofanya Libya, Iraq, afghan, na sasa Syria wanaunga kwa nguvu zote wahasi tena hadharani.

Angalieni DRC Congo jinsi ka-nchi kadogo kama Rwada kalivyo i-distablize Congo. Ile vita ya Rwanda na Burundi was very well calculated. MAlengo yalikuwa congo, sema wanyarwanda na warundi wakaingia mkenge wakalianzisha wao kwa wao, lengo lilikuwa tu kuipindua hizo serikali harafu hao puppeti wao wai-vamie congo. Unafikiri rwanda kama rwanda wangeisumbua DRC mpaka leo? kuna vigogo wanaochota uranium kule.

Mkipigana vita, mkashindwa anayeshinda anawakalia kwa mabavu, labda awe na roho njema kama ya Nyerere kuwaachia. Na ni just rule of thumb, ya kwamba tikipigana mataifa makubwa yote na jirani wote watai-support Malawi ili malawi washinde waje wachote mali zenu kwa nguvu na kuwakalia kwa mabavu maana ni TZ kuna mali nyingi sana.

Ni rule of thumb hiyohiyo, tukipigana na malawi hakuna taifa litakalo i-support TZ kwa sababu ya uki apply ile hesabu ya differential equations unaona dhairi ya kwamba mataifa ya ki-support Tanzania na wakaishinda malawi kule malawi wataenda kuchuma nini?
Kuweni makini ndugu zangu, heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Kumekuwepo na kauli nyingi juu ya namna nzuri ya kushughulikia mgogoro wa mpaka unaofukuta hivi sasa, kati ya Tanzania na Malawi. Kwa maoni yangu, mgogoro wa mpaka kati ya nchi hizi mbili hauwezi kutatuliwa bila ya kushirikisha watawala wa zamani wa nchi hizi mbili: Ikumbukwe kulingana na msimamo wa umoja wa Afrika, nchi zote za Afrika zinatakiwa kuendelea kuheshimu mipaka zilizoridhishwa kutoka kwa wokoloni. Kama hivyo ndivyo, ni nchi ya uingereza tu ambayo ndiyo yenye turufu katika kuupatia ufumbuzi mgogoro huu. Swali la kujiuliza ni kwanini watawala wetu wa sasa badala ya kutumia njia hiyo kutatua mgogoro huo haraka, wamekuwa wakijikita katika kutoa kauli zenye mahudhui ya kuukuza mgogoro wenyewe. Baadhi ya wachambuzi wa siasa wanaelezea hali hiyo kuwa inatokana na mifarakano iliyopo sasa hapa nchini mwetu; Kwa mujibu wa wachambuzi hao, kuibuka kwa mgogoro huo wa mpaka kati ya malawi na Tanzania, kumewapa fursa watawala wetu ya kuwalaghai wananchi kusahau tofauti zao, na badala yake kuungana pamoja kutetea mipaka ya nchi yao; katika hali hiyo, wanasiasa hao watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mgogoro huo haupatiwi ufumbuzi wa haraka.
 
Hakuna mgogoro wa mpaka Tanzania na Malawi-Serikali

Na Mwandishi Wetu,Dodoma

NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rita Mlaki, aliliambia Bunge jana kuwa hakuna mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi unaosababishwa na Ziwa Nyasa.

Alisema wameshakaa vikao mara mbili na viongozi wa serikali ya Malawi kuzungumzia kuhusu mipaka na kuridhika kuwa hakuna tatizo hilo kati ya nchi hizo.

Waziri Mlaki alisema wanatarajia kukaa kikao cha tatu ili kupata tafsiri ya namna mipaka inavyogawanywa katika maeneo ya ziwa na bahari.

Alikuwa kijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mkwajuni (CCM), Mzee Ngwali Zuberi, aliyetaka kujua lini serikali za Tanzania na Malawi zitakaa kutatua tatizo la mipaka kati ya nchi hizo.

Swali hilo lilitokana na swali la msingi la Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kwa Waziri wa Maji, aliyetaka kujua serikali imeshindwaje kunadi jina la Ziwa Nyasa ili kuondoa utata wa Malawi inayodai kuwa ziwa hilo lote ndani ya nchi yao.

Naibu Waziri wa Maji, Shamsa Mwangunga akijibu swali la Mbunge Nyalandu alisema Tanzania ina uhusiano mzuri na Malawi kwa muda mrefu na kwamba ahaina mgogoro kuhusu ziwa hilo.

Hata hivyo, alikiri kuwa sheria za wakati wa wakoloni ndiyo chimbuko la Ziwa Nyasa na kwamba mkataba wa Anglo German ulibainisha kwamba ziwa hilo ni milki ya Malawi kinyume na taratibu za sasa za mipaka inayopita majini, inayotoa fursa sawa kwa nchi zinazotenganishwa kwa ziwa au bahari, kwamba mpaka upitie katikati ya ziwa au bahari husika.

Alisema Tanzania na Malawi zinaendelea kutumia ziwa hilo kwa shughuli za kila siku bila ya mgogoro wa aina yoyote na pia zinaendelea kubuni miradi ya pamoja ya kuendeleza Bonde la Ziwa Nyasa.

Mawaziri wetu nao ni bure kabisa, na nina wasiwasi kuwa hawa watashindwa kujenda hoja kuhusu maji yale.

Nimeshaandika hapa mara nyingi sana kuwa katika mkutano wa berlini; Ziwa Nyasa lilikuwa ni sehemu ya eneo huru la kibiashara ikiwa ni pamoja na mito mikubwa yote iliyoko kwenye eneo la bonde la kongo, na mto Zambezi. Mkataba huo wa Heligo haukubadilisha article ya kwanza ya mkutano wa Berlin kuhusu hiyo free zone. Mkataba ulibainisha kuwa Ujerumani itaishia Mashariki mwa Ziwa, lakini haukusema kuwa ziwa lile litakuwa chini ya Uingereza. Hata wakati mfalme wa uingereza alipotuma gavana wake wa kwanza kwenda Malawi, alimpa order kuwa eno lake ni lile lililoko magharibi mwa ziwa Nyasa hakusema kuwa ni Ziwa Nyasa pamoja na eneo lote liliko magharibi yake.

Wakati wa vita waingereza walilitumia ziwa lile kuwashambulia wajerumani na kuanzia hapo wakaanza kulimiliki na kuhamishia mpaka wao hadi upande wa mashariki mwa ziwa kinyume cha makubaliano yote ya nyuma kuhusu uhuru wa kutumia ziwa hilo na ile mito ya ya kwenye bonde la Kongo. Iwapo mpaka huo ungehamishwa kwenye nchi kavu (kama ambavyo rwanda na Burundi zilivyoondeolewa kwenye Germani East Africa, kusingekuwa na tatizo kabisa leo, lakini kuhamisha mpaka kwenda kwenye ufukwe wa ziwa ni kinyume cha sheria zote zinazohuzu maji ya asili; Tanzania wana haki zote katika swala hili.

Inabidi viongozi wetu wawe na akili ya kusoma na kuelewa mikataba kwa makini. Swala hili siyo la kusema tuongee waturuhusu tutumie maji yale; kunataka wasiingie kwenye kipande chetu cha halali.
 
I believe that every creature in this mother world likes to live,peacefully and with hope. We African Brothers (Malawi & Tanzania) in a number of years we have common understanding and good relationship,why becoming eager to fight?? Is this a real solution to solve the problem raised over Lake Nyasa a.k.a Lake Malawi?? I do wonder some Malawians and my fellow Tanzanians are commenting here and being happy if war against each other is breaking!! This is non sense from senseless people..!! None of you who can real tell the truth who will benefit from this war…we have to think of the poor ..women..children..etc. If things become worse in one side(it can be TZ or MLW),JB or JK will flee to the foreign country.…leaving the poor ones suffering from this tragedy.It is true that most of African leaders nowadays are doing things for their own benefits,we TZnians and MLWians we have to think thrice who will benefit from the Lake Resources….obvious those who will have positions and close look on Production and sales…the poors will have a very very small parcentages you can’t tell. Most of those who comments here am sure are those who are falling in the group of the marginalised..the poors,those who do not have a chance of smelling of our nations’ cakes(Wealth). I Suggests that we Tanzanians and Malawians if the War breakes over this issues Let us demonstrate to Stop it..!! Guys in LLW and DAR we can do this… Also as some one commented we can not loose if we share the benefit of the lake together,we as brothers. The Wazungus have already confused us with their Treaties,most of them for their own benefits and not for ours. I am also disappointed with the Journalists and news reporters over this issue..they are also “Fans” of war. Some are telling us that TZ has already sent troops to the border…this is intimidating people they must be sure of what they are writing…I hope our leaders will compromise on the issue wisely. GOD Bless Africa
 
Great Thinker nngu007......................... shukrani sana,.....................hilo kalablasha umelipata wapi tena?......................................kaaazi kwelikweli,
 
Mawaziri wetu nao ni bure kabisa, na nina wasiwasi kuwa hawa watashindwa kujenda hoja kuhusu maji yale.

Nimeshaandika hapa mara nyingi sana kuwa katika mkutano wa berlini; Ziwa Nyasa lilikuwa ni sehemu ya eneo huru la kibiashara ikiwa ni pamoja na mito mikubwa yote iliyoko kwenye eneo la bonde la kongo, na mto Zambezi. Mkataba huo wa Heligo haukubadilisha article ya kwanza ya mkutano wa Berlin kuhusu hiyo free zone. Mkataba ulibainisha kuwa Ujerumani itaishia Mashariki mwa Ziwa, lakini haukusema kuwa ziwa lile litakuwa chini ya Uingereza. Hata wakati mfalme wa uingereza alipotuma gavana wake wa kwanza kwenda Malawi, alimpa order kuwa eno lake ni lile lililoko magharibi mwa ziwa Nyasa hakusema kuwa ni Ziwa Nyasa pamoja na eneo lote liliko magharibi yake.

Wakati wa vita waingereza walilitumia ziwa lile kuwashambulia wajerumani na kuanzia hapo wakaanza kulimiliki na kuhamishia mpaka wao hadi upande wa mashariki mwa ziwa kinyume cha makubaliano yote ya nyuma kuhusu uhuru wa kutumia ziwa hilo na ile mito ya ya kwenye bonde la Kongo. Iwapo mpaka huo ungehamishwa kwenye nchi kavu (kama ambavyo rwanda na Burundi zilivyoondeolewa kwenye Germani East Africa, kusingekuwa na tatizo kabisa leo, lakini kuhamisha mpaka kwenda kwenye ufukwe wa ziwa ni kinyume cha sheria zote zinazohuzu maji ya asili; Tanzania wana haki zote katika swala hili.

Inabidi viongozi wetu wawe na akili ya kusoma na kuelewa mikataba kwa makini. Swala hili siyo la kusema tuongee waturuhusu tutumie maji yale; kunataka wasiingie kwenye kipande chetu cha halali.

Mkuu
Umeongea vizuri, lakini ktk hii issue hatuishii kuongea vizuri tu, bali na kwa kuweka fact. Wengine hapa hatuna ujuzi wa historia ama sheria bali tuna emulate kitu kilichowekwa mezani. Kuna wadau hapa wameshatuwekea sijui treaty ya mwaka 1891 na inasema tanganyika inaishia kwa ufukwe wa ziwa. Sasa ingekuwa nyema kama waweza utuwekee hiyo docs inayosema na malawi nayo inaishia kwa ufukwe.

Nafikiri utakuwa umesaidia zaidi, tusisubiri viongozi, mara nyingi sisi tusio viongozi tuna uelewa wa mambo zaidi ya viongozi, maana hawa viongozi wamepeana kifisadi. Wasaidia kwa hiyo doc ili wamalawi wakifuata doc zao uingereza sie tufuate docs ujerumani.
 
Jamani watanzania wenzangu tusifanye mchezo na hili suala la mipaka muhimu ya inchi yetu..tukumbuke matatizo yanayowapata wenzetu wa israel na palestina ni mambo haya haya ya nani anastahili kupata nini..tuchukue muda wa kutosha kupata ukweli wa hili jambo na hasa wenzetu mliobobea kwenye haya mambo mtupe mwongozo basi.
 
Ramani hizi ni kabla ya mwaka 1993

kwa mawazo yangu ziwa hili lipo malawi watanzania tuache ubabe.hii vita inayo lazimishwa ni kwa maslahi ya watu flani watanzania tuamke tusikabithi akili zetu kwa benard membe na lowasa hawa wanajua watakachokipata katika vita hii ndiyo maana wanaikazania.
 
Mkuu, mimi nimeliona hili. Hii ni strategy ya watu wanaotafuta urais. Vita inaunganisha sana watu. Kwa hiyo atakayekuwa mstari wa mbele, ataonekana kama mtu mzalendo sana. Nadhani utakuwa umeshaona upepo tayari sasa hivi
 
Hii diyo mppaka yenyewe samahanini kwa usumbufu

Hawa akina Lowasa wanajitafutia umaarufu kwa karamu ya watu only, sasa hata hio Tanganyika apo wanatafuta nini zaidi ya ugomvi na Malawi. Waambie wakimaliza kuuwaa watu wa Malawi tunawasubiri huko The Heig.
 
Ramani hizi ni kabla ya mwaka 1993

kwa mawazo yangu ziwa hili lip0 malawi watanzania tuache ubabe.hii vita inayo lazimishwa ni kwa maslahi ya watu flani watanzania tuamke tusikabithi akili zetu kwa benard membe na lowasa hawa wanajua watakachokipata katika vita hii ndiyo maana wanaikazania.

Nashauri msubiri CHADEMA iingie madarakani ndio mkubali mpaka wa pwani.
 
Back
Top Bottom