Chimba vituz
Member
- Jun 13, 2013
- 35
- 4
- Thread starter
- #161
Nilijua NIMEKUGONGA IKULU. Na ndio maana umeishia kutokwa povu hata kushinda la mwenye Kifafa! Hii ndio JF. Ukija kama GT utaeleweka tu! Ukija kama wa kutega watu tutakuelewa tu! Na kwa sababu umetokezea kwa style hii, tatizo ni KUBINAFSISHA AKILI. Iwe Sir or Madam all are GENDER.
Njoo kivingine!
Welcome to the JF.
Huna uwezo wa kugonga akili yangu zaidi ya akili za wanaokulala...hujawai kua na hoja hata siku moja na ndio kawaida ya mapunga yote...c ndio mambo ya haki zenu za mlengo wa kilibera...