Ukweli kuhusu marekebisho ya sheria ya mifuko ya jamii

Sir M.D.Andrew

JF-Expert Member
Jul 30, 2012
201
37
Ukweli ni kwamba serikali ilikopa pesa kwenye mifuko ya jamii hususan PPF/NSSF kwa ajili ya ujenzi wa chuo kikuu cha dodoma,na barabara za mjini DAR,mradi wa kigamboni n.k tatizo lililojitikeza ujenzi haujaisha pesa kwenye mifuko zimeisha na serikali haijaanza kurudisha mkopo huo,wakati huohuo watu wanahitaji pesa zao,ili serikali ipate muda wa kuanza kurudisha mkopo huo na kumaliza miradi yao wakaamua kubadili sheria haraka kupunguza idadi ya watu kuchukua pesa,wabunge wa CCM walipigia upatu sheria hii ili kuokoa serikali ya CCM.
 
Inawezekana kuna ukweli ila kuikamilisha weka Source mkuu!

Kwa kumsaidia source ni report ya CAGilisema kategorically kwamba investment ya UDOM inabishaniwa na serikali na NSSF kwa maana kwamba Hiyo asset(udom) haipo ktk vitabu vya mahesabu vya NSSF simply kwa sababu nssf imeweka serikali kama mdaiwa(debtor) kwa upande wake serikali imekataa kukubali kama udom ni mali yake kwani kwa kufanya hivyo ataonekana mdaiwa.Kiutalaam NSSF ni mkopeshaji whereas serkali mkopaji.Ikikubalika hivyo serikali anapaswa kulipa deni na muda wa kulipa umefika na pia serikali haina kitu mfukoni .Ndiyo mwanzo wa sheria ile kandamizi
 
Kwa hiyo wabunge wote wa CCM ni mataahira? Job ndugai(naibu speaker) anaposema irudishwe kwa wananchi hakujua impact yake wakati wanaipitisha kwa makeke? Hivi mbona sikusikia hata wabunge wa upinzani wakiipinga ukiachilia mbali hata sikumbuki kuisikia ikijadiliwa! Kwamba serikali ilikopa hiyo inajulikana wala haihitaji source maana nakumbuka kumsikia kikwete akiagiza mifuko yote ya hifadhi ya jamii mpaka bima ya afya. LAKINI NINAVYOWAJUA WATANZANIA KAMA AMBAVYO KUNA BAADHI YA WALIMU NI WAOGA WA KUDAI MASLAHI YAO HATA BAADHI YA WAFANYAKAZI WAKIAMBIWA WAANDAMANE KUSHINIKIZA HIYO SHERIA KANDAMIZI IONDOLEWE WATAPINGA WAKIDAI NI CHADEMA!!!

"Mungu anawashangaa wale waliochagua matatizo kwa kudai ni chaguo la Mungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"
 
Kwa hiyo wabunge wote wa CCM ni mataahira? Job ndugai(naibu speaker) anaposema irudishwe kwa wananchi hakujua impact yake wakati wanaipitisha kwa makeke? Hivi mbona sikusikia hata wabunge wa upinzani wakiipinga ukiachilia mbali hata sikumbuki kuisikia ikijadiliwa! Kwamba serikali ilikopa hiyo inajulikana wala haihitaji source maana nakumbuka kumsikia kikwete akiagiza mifuko yote ya hifadhi ya jamii mpaka bima ya afya. LAKINI NINAVYOWAJUA WATANZANIA KAMA AMBAVYO KUNA BAADHI YA WALIMU NI WAOGA WA KUDAI MASLAHI YAO HATA BAADHI YA WAFANYAKAZI WAKIAMBIWA WAANDAMANE KUSHINIKIZA HIYO SHERIA KANDAMIZI IONDOLEWE WATAPINGA WAKIDAI NI CHADEMA!!!

"Mungu anawashangaa wale waliochagua matatizo kwa kudai ni chaguo la Mungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"

Ule mswaada haukuwa na kipengere cha miaka specifically 55 au 60 ila ilikuwa ni broad statement ikiwa na maudhui ya kuwepo muda maalum wa kuchukua mafao,baada ya kupita kilichofanyika ni to fill the space provided as if you are in the exam or filling visa form.kudadadaaaaadeki ccm
 
Ule mswaada haukuwa na kipengere cha miaka specifically 55 au 60 ila ilikuwa ni broad statement ikiwa na maudhui ya kuwepo muda maalum wa kuchukua mafao,baada ya kupita kilichofanyika ni to fill the space provided as if you are in the exam or filling visa form.kudadadaaaaadeki ccm

mkuu, hiki kipengele kinachobishaniwa hakikuwepo wakati sheria inajadiliwa bungeni. kilipachikwa wakti inapelekwa kwa dhaifu ikasainiwe.
 
Inawezekana kuna ukweli ila kuikamilisha weka Source mkuu!
[COLOR=#ff0000 said:
Join Date : 30th July 2012[/COLOR]
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received:3
Likes Given:0
nadhani anaweza akawa na hoja. Ngoja nijiaminishe kuwa hiyo tarehe yake ya kuingia hapa jukwaani ituaminishe kuwa baada ya kuyajua haya kaamua kuja hapa!
 
Hiyo ni kweli kabisa mdau. Unajua serikali iliamua tu kukwapua pesa hizo bila ya kuwa na mpango madhubuti na wakuaminika wa namna ya kuzirejesha. sasa mambo yamewaendea vibaya.
 
Kwa hiyo wabunge wote wa CCM ni mataahira? Job ndugai(naibu speaker) anaposema irudishwe kwa wananchi hakujua impact yake wakati wanaipitisha kwa makeke? Hivi mbona sikusikia hata wabunge wa upinzani wakiipinga ukiachi lia mbali hata sikumbuki kuisikia ikijadiliwa!Kwamba serikali ilikopa hiyo inajulikana wala haihitaji source maana nakumbuka kumsikia kikwete akiagiza mifuko yote ya hifadhi ya jamii mpaka bima ya afya. LAKINI NINAVYOWAJUA WATANZANIA KAMA AMBAVYO KUNA BAADHI YA WALIMU NI WAOGA WA KUDAI MASLAHI YAO HATA BAADHI YA WAFANYAKAZI WAKIAMBIWA WAANDAMANE KUSHINIKIZA HIYO SHERIA KANDAMIZI IONDOLEWE WATAPINGA WAKIDAI NI CHADEMA!!!

"Mungu anawashangaa wale waliochagua matatizo kwa kudai ni chaguo la Mungu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"
hapo kwenye red mkuu ni kuwa kipengele hicho hakikuwepo wakati wa mjadala wa bunge KIMECHOMEKEWA na rais kasaini....kwa mujibu wa Haki za binadamu(helen Bisimba)
 
Hivi na ile mishahara tuliyokopa Benk za biashara tumesharudisha? Mbona waziri wa fedha alisema tunakopesheka? Au haya madeni mengine yalifichwa ili ionekane tunakopesheka? Hapa Imebaki tu Majembe Auction kutangaza kuwa TZ inauzwa kwa mnada wa hadhara.
 
Kuna official website ngoja nijaribu kumuuliza anayehusika kama atakubali niweke hadharani
 
Na kwa kuongezea wakuu,ramani ya mji mpya kigamboni mkandarasi aliyepewa alianza kulipwa hata kabla kazi haijaanza,upanuzi wa barabara za DAR mf.ile ya tegeta bunju mbezi aliyepewa kandarasi ni kigogo mmoja wa mfuko mmoja wa jamii,alijichotea pesa kwenye mfuko wake,wakati huohuo NSSF Ikiwa bado haijaanza kupata faida ya ujenzi wa UDOM habari za uhakika zinasema tayari mfuko huo uliingia mkopo mwingine na serikali mabilioni ya pesa kwa ajili ya ukarabati wa majengo yaliyochini ya kiwango udom,deni ni kubwa kwa sasa..wakuu ni uhakika na kweli tupu
 
Shua. Huu ndo ukweli wenyewe. Zingine mbwembwe tu.
imekuaje wamesalimu amri migodini...the status quo remains na utaratibu utawahusu wale tu ambao wataingia kwenye mfuko baada ya july pamoja na kwamba watakuwa na uhuru zaidi wa kuchagua mfuko upi watajiunga kwa vile kila mfuko una masharti yake ambayo yanatofautiana na mwingine. yale yale ya kusikilizia upepo unavumia wapi..
 
ni kweli kabisa................
magamba hawaoni tena,, hawasikii tenaa,,, hawanausi tena.....wanapelekwa na upepo tuu....
 
imekuaje wamesalimu amri migodini...the status quo remains na utaratibu utawahusu wale tu ambao wataingia kwenye mfuko baada ya july pamoja na kwamba watakuwa na uhuru zaidi wa kuchagua mfuko upi watajiunga kwa vile kila mfuko una masharti yake ambayo yanatofautiana na mwingine. yale yale ya kusikilizia upepo unavumia wapi..

Ehe watu wa migodi wanaruhusiwa kuvuta mpunga?
 
Back
Top Bottom