binjo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 2,115
- 1,240
Mkuu hapo anaroga tu kwani hapo bila shaka msimamizi wa laana hiyo ni nguvu za giza.Kwa mfano mtu anaposema anavunja chungu (analaani)familia nzima iteketee na inakuwa kweli.
Naomba kuelewesha mahusiano ya laana na watu kufa.