Ukweli kuhusu laana (Curse)

Pumba umeandiaka hujui kitu soma bible ndo uje
Ndiyo hivyo. Hiyo ni dini kama zilivyo imani za dini. Ni METAPHYSICAL. Na halina logic yoyote. Ingekuwa ipo kweli ni kwa nini itoke kwa wazazi ama watu wa karibu tu wakati maovu umewatendea watu mbali mbali?! Kwa nini ukikosa adabu kwa wengine usilaaniwe?! Hata hilo neno "baraka" ni upuuzi mtupu! Hakuna kitu kama hicho.! Na ndiyo maana hata ukisali kabla ya kula, yaani kukibaliki chakula, kama kina sumu itakuathiri tu na kama kina kipindupindu utaugua tu.
 
Hakuna kitu kama hicho.Ni suala la kisaikolojia tu. Linamuathiri yule anayeliamini.
1475080819351.png
1475080833493.png
1475080845760.png
 

Attachments

  • 1475080754709.png
    1475080754709.png
    157.3 KB · Views: 46
  • 1475080786851.png
    1475080786851.png
    110.2 KB · Views: 48
  • 1475080826283.png
    1475080826283.png
    110.2 KB · Views: 43
Hapo ndipo utakapojua sayansi haina jibu la kila kitu. Sayansi sio ukweli wote. ukweli mwingine tunahitaji njia zingine (REVELATION).
Sayansi ni hatari mwanasayansi laana yake akikuambia atakuangamiza wewe na mji wako ujue ndio hivyo unapigwa kombora moja la nuclear mchezo unakwisha... Sasa wewe majibu yako huna Wa kumtegemea zaidi ya wana sayansi
 
Sayansi ni hatari mwanasayansi laana yake akikuambia atakuangamiza wewe na mji wako ujue ndio hivyo unapigwa kombora moja la nuclear mchezo unakwisha... Sasa wewe majibu yako huna Wa kumtegemea zaidi ya wana sayansi
Kwa maana hiyo wewe unafikiri sayansi ina majibu ya kila kitu sio? Jiongeze mkuu
 
pia tujiulize mwenye mamlaka ya kutoa laana ni Mungu pekee ama hata shetani ana huo uwezo?
 
1. EMOTIONAL INSTABILITY, FEAR
“The LORD shall smite thee with madness, and blindness, and astonishment of heart.” (Deuteronomy 28:28)

The first curse we will discuss is emotional instability. Notice the Scripture above says the Lord will “smite with madness.” To be smitten with madness means insanity, craziness, foolishness, irrational behavior, and flakiness. He also uses the term “blindness.” This blindness releases confusion, indecision, and wonderment.

If that’s not enough God follows that with “astonishment of heart” meaning a trembling, unsettled, and fearful heart.

Under this curse, one is easily overcome by emotions and fear. These trigger a person to make foolish decisions and do crazy self-destructive things. In this condition, a person has a continual inner struggle, internal warfare, and frustration.

Confusion and depression are two key indicators of this family curse. This curse teaches why some are double-minded and have problems ordering their lives with the Word of God and renewing their minds.

2. HEREDITARY FAMILY SICKNESSES
“The LORD shall make the pestilence cleave unto thee, until he have consumed thee from off the land, whither thou goest to possess it. The LORD shall smite thee with a consumption, and with a fever, and with an inflammation, and with an extreme burning, and with the sword, and with blasting, and with mildew; and they shall pursue thee until thou perish.” (Deuteronomy 28:21)

Some family sicknesses are reoccurring. Reoccurring is the indication of a family curse. Notice the terms “pestilence” and “consumption.”

This curse releases sicknesses of all kinds. Consumption is a wasting lung disease, emphysema, COPD, and lung cancer. Lung cancer is the number three killer.

He also uses terms, “fever” and “inflammation.” These indicate a curse that is evidenced by arthritis. Inflammation of the brain leads to Alzheimer disease. Then we read the term “extreme burning.” Extreme burning means all sorts of strange fevers.

THE BOTCH
“The LORD will smite thee with the botch of Egypt, and with hemorrhoids, and with the scab, and with the itch, of which thou canst not be healed.” (Deuteronomy 28:27)


Botches are open sores or boils. These are experienced by those that have problems with wounds that will not heal. Scripture also says, “The LORD shall smite thee in the knees, and in the legs, with a sore botch that cannot be healed, from the sole of thy foot unto the top of thy head” (Deuteronomy 28:35). This curse attacks legs, soles of the feet and the top of one's head.

The Lord didn’t leave any diseases out of this curse. He declared, “Also every sickness, and every plague, which is not written in the book of this law, them will the LORD bring upon thee until thou be destroyed.” (Deuteronomy 28:61)
 
Mkuu achana na hiyo imani, itakutesa sana. Ndiyo hii "fear of the unknown". Utatambika sana kwenye makabuli ya mababu zako kwa lengo hili la kuondoa "laana". Na kila utakapofeli kimkakati akili yako itakuelekeza kwenye "laana". Umeshindwa kulipa deni wanataka kuuza nyumba akili itakutuma kutambika kwenye kaburi la baba, mjomba, shangazi, mama, bibi, nk. Ili laana itoke wasiuze nyumba yako! Achana na hiyo dhana.!
laana hata kwenye vitabu vya dini imezungumziwa mkuu.mambo mengine sio ya kujifanya mjuaji kisa umesoma sana.endelea na ujuaji wako
 
Laana na Baraka zipo na sio suala la kufikirika kama wengine wanavyosema humu. Hebu tuanzie na vitabu vitakatifu tuone namna Baraka na laana zilivyo.
  1. Someni ktk biblia kitabu cha mwanzo laana aliyotoa Mungu kwa 'nyoka', Hawa na Adamu baada ya uovu wa kwanza.
  2. Someni pia kitabu hicho hicho laana ya Mungu kwa Kaini baada ya kumuua nduguye Abeli
  3. Someni Baraka kwa watoto wa Ibrahim Isihaka na Ishmael.
  4. Someni Baraka na laana za Nuhu (kama sikosei) kwa wanae kwa aliyemcheka na wale waliomfunika akiwa amelewa.
  5. Someni Baraka za Israel (Yakobo) kwa wanawe
Ni Mengi ya kusoma ila LAANA na BARAKA zipo, mfano hai zaidi ni Amri ya 4 Ya Mungu ;waheshimu baba na mama upate heri na miaka mingi duniani. hebu angalieni wale ambao waliheshimu wazazi DHIDI ya wale waliowadharau upate mifano.
hapo umetoa majibu.asie elewa hapo ujue tayar ana laana
 
Nimeisoma post yako kuhusu aliyempiga mama yake na mwishowe akawa kichaa. Ni hivi hapo siyo laana.! Pengine hata huko kumpiga mama yake ndiyo ilikuwa dalili ya kuugua akili. Pengine alishaanza kuugua akili kabla hata mama hajapigwa. Kumbe alikuwa tayari ana kichaa ambacho kilipanda siku hiyo na kumpiga mama yake. Si jambo dogo kumpiga mama, lazima akili iwe na matatizo kwanza ndipo umpige. Jingine ni hiyo imani ya kwamba umelaaniwa: hii inaweza kukuletea stress kali sana au depression na hasa pale mtoa laana anapokuwa ni marehemu. Matokeo ni kukufikisha kwenye ukichaa(mental illness). Kwa hiyo ni suala la kisaikolojia tu. Wapo wengi wamewapiga mama zao na wamepewa hiyo laana lakini wapo tu na wengine wana maisha mazuri kutuzidi hata sisi "wabarikiwa". Sisemi muwapige mama zenu.Kumpiga mzazi ni kitendo cha fedheha na kujidharirisha. Na hakisafishiki. Mimi nilishakataa kabisa kusikia mtu anasema ananibariki.
Kuna wengine awapigi wazazi ila hawawaheshimu wazazi wao!!!
 
Kuna wengine awapigi wazazi ila hawawaheshimu wazazi wao!!!
Km ww unamuamini Mungu suala hili halitakupa shida maana kupinga jambo ambalo hujalifanyia utafiti wa vitabu vitakatifu hasa biblia inakuwa ngumu kukuelewesha labda usiwe muamini
 
safi sana mkuu Mungu akubariki, ni sahihi kuwa laana inaweza kuletwa na Mungu lakini hapo kwa binadam bado nna dukuduku kwa maana siamini kama mwadam anaweza kuachia laana kwa nguvu zake tu( physical power) bila nguvu ya kiroho ( spiritual power) kuhusika, hiyo imekaaje mkuu
Mungu wetu ni wa huruma na rehema,Mungu halaani bali matokeo ya dhambi ndo huleta laana,tunapofanya dhambi hututenga na Mungu tunafungua mlango wa mabaya juu yetu maana tunakuwa hatuna Ulinzi tena wa Mungu juu yetu,na ndiyo maana pale ambapo utagundua kwamba umekosea ukatubu ukarudi kwa muumba wako Unapata rehema.

Yes binadamu naye anauwezo wa kutoa laana na baraka,tumeumbwa kwa mfano wa Mungu hivyo tunauwezo wa kuyashiriki Yale ya kimungu,kuna nguvu fulani ya kiasili ipo katika mwanadamu katika kutamka,kuna mstari katika Biblia unaosema ninyi ni miungu .

Achilia mbali katika maisha ya kiroho Hata kikawaida tu tunaambiwa angalia sana maneno Yale unayoyatamka maana yana matokeo makubwa maishani mwako,"Wanasayansi wa maswala ya kisaikolojia wanasema badili unavyofikiri ili ubadili unavyosema" kwanini wanasisitiza Hilo wanajua ipo nguvu katika ukiri/maneno , ukiwa na mtazamo Chanya utaongea chanya na utaleta matokeo chanya. Na ndiyo maana wataalam hao wanatushauri sana ile asubuhi unapoamka waza na ukitamke kitu kizuri kwaajili ya siku yako hiyo,panga mipango yako kisha kuwa na mtazamo chanya kwamba utafanikiwa,na Hata kama umeshindwa Jioni angalia wapi ulikosea sahihisha waza na kiri kufanikiwa tena. Wakati mwingine sisi wenyewe pasipo kutamkiwa na mtu mwingine tumejilaani wenyewe,mtu unatamka yaani Mimi ni wa hivi hivi tu,ndiyo utabaki wa hivyo hivyo, au Mimi nitakufa na umaskini wangu kweli utakufa maskini, au wanawake wote pasua kichwa ndiyo Hata wakija wazuri kwako utawaona ni pasua tu na utaendelea kupata pasua kichwa tu.

Tujifunze Hata katika watu waliofanikiwa maishani katika dunia ya Leo wengi wao ukiwasoma historia zao walitembea na usemi fulani,walikubali kutoshindwa pamoja na vikwazo vingi walivyokutana navyo walikiri ushindi wakatimiza ndoto zao.

Pia ipo laana ambayo mtu huambatanisha na nguvu ya giza,ndo maana Hata wachawi na waganga wanalitambua hilo la nguvu ya maneno, pamoja na mauchawi yote wafanyayo lakini lazima atamke maneno fulani ya kumlenga yule aliyemkusudia,sasa kwa Yule ambaye amekusudiwa kama ana nguvu ya Mungu ndani yake uchawi huo haufanikiwi lakini kama hana ni rahisi kuchukuliwa na kusudio Hilo.

Ila hakuna kulaani kupitia nguvu ya Mungu tumeagizwa kutoa Baraka tu,Yesu alisema waombeeni wanaowaudhi maana kwa kufanya hivyo unapalia makaa juu ya kichwa chake,na akasema ukipigwa shavu la kushoto geuza na la pili,mtu akitamka maneno mabaya juu yako Wewe muombee tamka baraka juu yake, kisha yafute yote kataa maneno hayo,mwachie Mungu ndo atashughulika naye.


Pia tujue tu kikawaida apandacho mtu ndicho avunacho,ukimtendea mwenziyo ubaya jua yapo matokeo ya hayo mabaya Hata kama siyo Wewe wapo katika wanaokuhusu watapata,ukitenda wema utalipwa wema Hata kama siyo Wewe wapo watakaolipwa kwaajili yako ndo maana Hata waswahili wanasema Wema hauozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom