Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,498
- 8,559
Nilimsikia afisa mmoja wa TRA akihojiwa na BBC na VOA jana. Sababu alizozitoa zinadhihirisha kuwa hizo EFDs ni biashara ya mtu ndani ya TRA!
Kwa nini bei ipungue pungue kama vile ni biashara ya machinga; mara laki 8, 7, mara 6?
Wenyewe watoe vigezo vya mashine wanazihitaji na kuwaelimisha wafanyabiashara umuhimu wake ili kila mwenye nia ya kufanya biashara akanunue huko anakojua bei si ghali!
Jp
Kwa nini bei ipungue pungue kama vile ni biashara ya machinga; mara laki 8, 7, mara 6?
Wenyewe watoe vigezo vya mashine wanazihitaji na kuwaelimisha wafanyabiashara umuhimu wake ili kila mwenye nia ya kufanya biashara akanunue huko anakojua bei si ghali!
Jp