Hello mimi ni active member ya hii biashara ya nimeanza miezi michache iliyo pita
Ukweli ni kwamba watu wengi hawana mtazamo sahihi kuhusu network business na humu utaona wanaongea sana bila kuwa na ujuzi wowote
But biashara hii ni nzuri na inafanyika vizuri tu as long as upo tayari kwenye kuifanya na pia uwe kwenye right team
So ndugu yangu kama upo tayari kufanya just do na kama unamashaka then usifanye na hasa ukiwa hauna team bora ya biashara
Ukweli ni kwamba watu wengi hawana mtazamo sahihi kuhusu network business na humu utaona wanaongea sana bila kuwa na ujuzi wowote
But biashara hii ni nzuri na inafanyika vizuri tu as long as upo tayari kwenye kuifanya na pia uwe kwenye right team
So ndugu yangu kama upo tayari kufanya just do na kama unamashaka then usifanye na hasa ukiwa hauna team bora ya biashara