Ukraine yasema imekomboa eneo zima la Kyiv

Putin naona anataka achukue kwanza majimbo yote ya mashariki yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga mwaka 2014 alafu ndo aendelee na vitu vingine.wasi wasi baadae kuna uwezekano wa kukatokea nchi 2.(ukraine ya warusi na ukraine ya wamagharibi).

Majimbo zaidi ya 9(CRIMEA,DONESK,LUHANSK,ODESSA,ZAPORIZHIA,KHARKIV,MYKOLAYIV,KHERSON NA DNIPROPETROVSK) yalishudiwa maandamano ya kutaka kijitenga na ukraine, ila ni majimbo ma 3 kati ya majimbo 9 yalifanikiwa kuweza kujiondoa(CRIMEA,DONESK NA LUHANSK)

Warusi baada ya kuingia wamechukua majimbo ma 2 la ZAPORIZHIA na KHERSON kwa nguvu na kubakiza majimbo ma 4 yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga kwaka 2014.

*ODESSA
*KHARKIV
* Mykolayiv Oblast
*DNIPROPETROVSK

(KHARKIV)
Kharkiv kwa sasa kunaonekana ndo jimbo lenye mashambulizi makali ya warusi kuliko jimbo lolote lile ndani ya ardhi ya Ukraine.vikosi vya anga na vya ardhini vinafanya mashambulizi muda wote,kuanguka kwa mji huu wa kiviwanda itakuwa pigo sana kwa serikali ya ukraine.

(ODESSA)
Odessa ndo jimbo pekee lenye bandari lililobaki kwenye mikono ya majeshi ya ukraine,kuferi kwa jimbo hili ni wazi ukraine atoweza kupokea au kutuma mzigo wowote ule kwa njia ya majini.siku 2 za ivi karibuni warusi wameongeza mashambulizi makali sana ya anga.ni wazi wanajiandaa kutaka kuvamia jimbo la Odessa.

(Mykolayin)
Mykolayin siku za nyuma imekuwa nayo kitovu cha kupokea mashambulizi kutoka angani na ardhini.vikosi vya urusi vinafanya mashambulizi mazito ili waweze kuingia kwenye mkoa huu.

(Dnipropetrovsk)
Dnipropetrovsk imekuwa makimbilio kwa wa ukraine wanaotoka sehemu zenye mapigano makali,ila kuongezeka kwa mashambulizi ya ivi karibuni kwenye mkoa huu inatoa ishara kuwa warusi wanajiandaa kutaka kuvamia.
View attachment 2174115
Nakurebisha kidogo, Jimbo la Zaporizia Urusi bado hawajariteka, wapo kusini yake wanaangaika na mariapol. Pia Jimbo la Kersoni wamefika mji wa kersoni wanapigana hapo lakini jimbo lote zima hawariteka. Bado wana safari ndefu maana Ukreini ndio Taifa kubwa kwa ardhi barani Ulaya.NB Urusi kisiasa uondolewa Kuwa Ulaya.
 
kyiv.png
 
Wamekomboa? So walisema urusi imeshindwa kuiteka kiev? Sasa wamekomboa kwa nani?
Wenzako wanafia vitani kulinda hadhi na heshima ya nchi yao, Sisi kwetu hata njaa tu imetushinda kupambana nayo. Ukraine ni vidume kwelikweli kufia vitani kuliko kukubali kuwa mbwa anaefugwa na tegemezi. Putin alitaka kuingusha Ukraine , yaani kuvunja uongozi wote lakini wa ukraine wamemgomea kwa vitendo tujifunze spirit mapambano dhidi ya uonevu wa wenye nguvu
 
Oneni hili jinga wazee. Ndo linaongea nini sasa? Kuua raia wasio na hatia ndo unaita vidume. Nimekudharau ptuuu mate usoni
Eti ptuu.......we kama sio delicious basi ni wale wale kwa msaada wa watu wa marekani........siitaji hata hio heshim yako mja laaana weye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom