Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,622
- 31,136
InashangazaTangia majuzi niliona taarifa toka Ukraine kuwa majeshi ya Urusi yamekuwa yakitoka toka Kyv leo naona wamekomboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
InashangazaTangia majuzi niliona taarifa toka Ukraine kuwa majeshi ya Urusi yamekuwa yakitoka toka Kyv leo naona wamekomboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakurebisha kidogo, Jimbo la Zaporizia Urusi bado hawajariteka, wapo kusini yake wanaangaika na mariapol. Pia Jimbo la Kersoni wamefika mji wa kersoni wanapigana hapo lakini jimbo lote zima hawariteka. Bado wana safari ndefu maana Ukreini ndio Taifa kubwa kwa ardhi barani Ulaya.NB Urusi kisiasa uondolewa Kuwa Ulaya.Putin naona anataka achukue kwanza majimbo yote ya mashariki yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga mwaka 2014 alafu ndo aendelee na vitu vingine.wasi wasi baadae kuna uwezekano wa kukatokea nchi 2.(ukraine ya warusi na ukraine ya wamagharibi).
Majimbo zaidi ya 9(CRIMEA,DONESK,LUHANSK,ODESSA,ZAPORIZHIA,KHARKIV,MYKOLAYIV,KHERSON NA DNIPROPETROVSK) yalishudiwa maandamano ya kutaka kijitenga na ukraine, ila ni majimbo ma 3 kati ya majimbo 9 yalifanikiwa kuweza kujiondoa(CRIMEA,DONESK NA LUHANSK)
Warusi baada ya kuingia wamechukua majimbo ma 2 la ZAPORIZHIA na KHERSON kwa nguvu na kubakiza majimbo ma 4 yaliyoanzisha vuguvugu za kujitenga kwaka 2014.
*ODESSA
*KHARKIV
* Mykolayiv Oblast
*DNIPROPETROVSK
(KHARKIV)
Kharkiv kwa sasa kunaonekana ndo jimbo lenye mashambulizi makali ya warusi kuliko jimbo lolote lile ndani ya ardhi ya Ukraine.vikosi vya anga na vya ardhini vinafanya mashambulizi muda wote,kuanguka kwa mji huu wa kiviwanda itakuwa pigo sana kwa serikali ya ukraine.
(ODESSA)
Odessa ndo jimbo pekee lenye bandari lililobaki kwenye mikono ya majeshi ya ukraine,kuferi kwa jimbo hili ni wazi ukraine atoweza kupokea au kutuma mzigo wowote ule kwa njia ya majini.siku 2 za ivi karibuni warusi wameongeza mashambulizi makali sana ya anga.ni wazi wanajiandaa kutaka kuvamia jimbo la Odessa.
(Mykolayin)
Mykolayin siku za nyuma imekuwa nayo kitovu cha kupokea mashambulizi kutoka angani na ardhini.vikosi vya urusi vinafanya mashambulizi mazito ili waweze kuingia kwenye mkoa huu.
(Dnipropetrovsk)
Dnipropetrovsk imekuwa makimbilio kwa wa ukraine wanaotoka sehemu zenye mapigano makali,ila kuongezeka kwa mashambulizi ya ivi karibuni kwenye mkoa huu inatoa ishara kuwa warusi wanajiandaa kutaka kuvamia.
View attachment 2174115
Nyuzi nyingi humu zilikuwa zinasema majeshi ya Russia yanarudi nyuma, waloleta hizo habar wakaonekana wanaleta propaganda za magharibi.Tangia majuzi niliona taarifa toka Ukraine kuwa majeshi ya Urusi yamekuwa yakitoka toka Kyv leo naona wamekomboa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Walivamia gafla baadae kahawa ikawa chungu, wakaanza kula shaba na kutimua mbio sasa wanafatwa DonbasKumbe walikuwa wanashikana miji yote hiyo. Warusi watu wabad aloo
Washamaliza mission yao ndo mnasema mnakomboa miji baada ya vidume kuamua kusepa hio phase 1 ngojeni ya piliWalivamia gafla baadae kahawa ikawa chungu, wakaanza kula shaba na kutimua mbio sasa wanafatwa Donbas
Mission ilikuwa nini sasa au kuua raia? naona Zelensky anatamba KyivWashamaliza mission yao ndo mnasema mnakomboa miji baada ya vidume kuamua kusepa hio phase 1 ngojeni ya pili
sasa wako wapi hao warusi wabadKumbe walikuwa wanashikana miji yote hiyo. Warusi watu wabad aloo
Hamna uwezo tena wa kijeshi zaidi y kuomba misaada ,, acha watu sasa wakajimegee donbassMission ilikuwa nini sasa au kuua raia? naona Zelensky anatamba Kyiv
Cities, towns, villages, hamlets, householdsKyiv ni Mji sasa unakuaje tena una miji 30? Yaani ni sawa useme Dar ina miji 30
Lakini dunia ilikua haituambii hiloKumbe walikuwa wanashikana miji yote hiyo. Warusi watu wabad aloo
Kabisa mkuuLakini dunia ilikua haituambii hilo
Wenzako wanafia vitani kulinda hadhi na heshima ya nchi yao, Sisi kwetu hata njaa tu imetushinda kupambana nayo. Ukraine ni vidume kwelikweli kufia vitani kuliko kukubali kuwa mbwa anaefugwa na tegemezi. Putin alitaka kuingusha Ukraine , yaani kuvunja uongozi wote lakini wa ukraine wamemgomea kwa vitendo tujifunze spirit mapambano dhidi ya uonevu wa wenye nguvuWamekomboa? So walisema urusi imeshindwa kuiteka kiev? Sasa wamekomboa kwa nani?
Eti ptuu.......we kama sio delicious basi ni wale wale kwa msaada wa watu wa marekani........siitaji hata hio heshim yako mja laaana weyeOneni hili jinga wazee. Ndo linaongea nini sasa? Kuua raia wasio na hatia ndo unaita vidume. Nimekudharau ptuuu mate usoni