Kuna dogo Jirani kanunua simu toka mahala Fulani, aina ya SAMSUNG A04s kwa utaratibu wa kulipa shs 90,000/= mara Moja na kisha kuendelea kulipa shs 1500/= Kila siku kwa mwaka mzima.
Kimahesabu itakuwa ni shs 90,000+ (1500 x 365) = 637,500/=
Simu hii kwa bei ya Sasa unaweza kuipata kwa shs 279,000/= Hadi 340,000/=. Ndio kusema Hadi dogo amalize deni atakuwa amelipa fedha ya karibia au sawa na Simu 2.
WAGALATIA 3:1
Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga?,
Kimahesabu itakuwa ni shs 90,000+ (1500 x 365) = 637,500/=
Simu hii kwa bei ya Sasa unaweza kuipata kwa shs 279,000/= Hadi 340,000/=. Ndio kusema Hadi dogo amalize deni atakuwa amelipa fedha ya karibia au sawa na Simu 2.
WAGALATIA 3:1
Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga?,