Hivi Mbowe si Marangu! Wachagga wanapenda vyeo sana sijui kwa nini, ata ukiangalia wenyeviti wengi wa vyama vya siasa ni Wachagga
sio lazima uchangie kila kitu unaonekana mjinga.
Hivi Mbowe si Marangu! Wachagga wanapenda vyeo sana sijui kwa nini, ata ukiangalia wenyeviti wengi wa vyama vya siasa ni Wachagga
mnatamani mtuuue sie wachaga jamani sijui tumewakosea nini watu wa lumumba? khaHivi Mbowe si Marangu! Wachagga wanapenda vyeo sana sijui kwa nini, ata ukiangalia wenyeviti wengi wa vyama vya siasa ni Wachagga
badala watu watwangane kwa mambo ya maana, eti uchifu wa kikabila....bullshit.
heri kuongozwa na chief Frank kuliko kuongozwa na mhuni a.k.a mzee wa kuchekacheka