Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Habari ya saa hii wanajamvi,
Nimeona nilete uzi huu baada ya kukaa na kutafakari jambo hili. Mimi nimmoja wa watu wanaojivunia kuimaliza mikoa yote Tanzania kuizunguka sambamba na kuishi huko kwa miaka kadhaa na miezi isipokuwa Ruvuma na sehemu nyingine sijafika kiukweli ni Zanzibar na nina mpango huu mwaka Mungu akijalia nitafika niwe nimemaliza asilimia zote 100%.Katika kuzunguka na kuishi mikoa hii nimejifunza kitu ambacho uenda kwa asilimia 80% - 99% kuna ukweli mkubwa na kama kutakuwa na uongo basi watu watatoa hoja zao hapa.
**Swala liko hivi mtu akitokea ameenda Arusha kafika stand tuseme hana chochote, wala ndugu, wala rafiki wala pakulala, wala chakufanya then akaanza maisha kuanzia hapo from the scratch na akaweza kuishi na kuja kutoboa na kufika walipofika wengine nakuja kuonekana basi huyo mtu hata umpeleke mkoa gani hapa Tanzania ni rahisi sana kutoboa kwa hiyo basi nakamilisha kwakusema kama kichwa cha habari ni hivi;
MTU AKIWEZA KU 'SURVIVE' ARUSHA ANAKUWEZA KU HANDLE CHANGAMOTO ZOTE NA MAHITAJI YOTE HAKUNA MKOA ATASHINDWA KUISHI
Kama siko sahii pinga kwa hoja na sio matusi.
Nimeona nilete uzi huu baada ya kukaa na kutafakari jambo hili. Mimi nimmoja wa watu wanaojivunia kuimaliza mikoa yote Tanzania kuizunguka sambamba na kuishi huko kwa miaka kadhaa na miezi isipokuwa Ruvuma na sehemu nyingine sijafika kiukweli ni Zanzibar na nina mpango huu mwaka Mungu akijalia nitafika niwe nimemaliza asilimia zote 100%.Katika kuzunguka na kuishi mikoa hii nimejifunza kitu ambacho uenda kwa asilimia 80% - 99% kuna ukweli mkubwa na kama kutakuwa na uongo basi watu watatoa hoja zao hapa.
**Swala liko hivi mtu akitokea ameenda Arusha kafika stand tuseme hana chochote, wala ndugu, wala rafiki wala pakulala, wala chakufanya then akaanza maisha kuanzia hapo from the scratch na akaweza kuishi na kuja kutoboa na kufika walipofika wengine nakuja kuonekana basi huyo mtu hata umpeleke mkoa gani hapa Tanzania ni rahisi sana kutoboa kwa hiyo basi nakamilisha kwakusema kama kichwa cha habari ni hivi;
MTU AKIWEZA KU 'SURVIVE' ARUSHA ANAKUWEZA KU HANDLE CHANGAMOTO ZOTE NA MAHITAJI YOTE HAKUNA MKOA ATASHINDWA KUISHI
Kama siko sahii pinga kwa hoja na sio matusi.