Wananchi wa Zanzibar wamekuwa wakiichukua Dar es Salaam-Tanzania kuwa ni nchi ya nje. Katika mahakama mara kadha kesi uahirishwa itokeapo shahidi, mshitaki au mshitakiwa asipohudhuria mahakamani. Mahakimu wanapouliza mhusika imekuwaje hajahudhuria katika mashauri yamhusuyo? Iwapo mhusika huyo atakuwa safarini Dar es Salaam au mkoa wowote ulioko Tanzania bara; atajibiwa mhusika amesafiri nchi za nje yuko Dar es Salaam. Wewe usiyeyajua haya amini ndivyo ilivyo. Mahakimu wengi wanaohudumu katika mahakama mbalimbali huko Zanzibar watakuthibitishia.:whoo: