TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Ni lini watanzania tunakabiliana na ajari za kizembe zinazo sababisha vifo visivyo tarajiwa?
Hii ni ajari imetokea maeneo ya ubungo kama unavyo ona dereva na mteja wa boda boda walilambwa na gari.
Je swala la usalama barabarani linaitaji kuwa swala la mtambuka?
Je Trafic polisi wameshindwa kazi za kusimamia usalama barabarani?
Kuna haja kuwepo na usalama shirikikishi barabarani pindi dereva anapo vunja sheria za barabarani raia wamkamate na kumfikisha sehemu husika badala ya kusubili Trafic ndo amkamate?
Taifa linapoteza nguvu kazi, vijana wanakufa vifo vya kizembe sana barabarani.