Ukiwa msituni.......!!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,259
Ukiingia msituni, waheshimu wakazi wa huko.
Sio, mara unawashia taa.....mara unawapiga indiketa na mahoni kibao!
Wenye msitu hawataki hizoo!!


62936_01_8_20110607093209.jpg


62936_02_8_20110607093209.jpg


62936_03_8_20110607093209.jpg

62936_04_8_20110607093209.jpg


62936_05_8_20110607093209.jpg


Hasa ukikutana na mzee Jumbo, mfalme aliyebaki.
 
  • Thanks
Reactions: Bob
safi sana, si binadamu tu peke yake ana akili, Tembo ni wanyama wenye akili na kumbukumbu sana, na unafahamu kwanini kuna kesi nyingi sana za tembo kuvamia mashamba na kuharibu mazao?, Ukimtendea ubaya naye atakutendea ubaya hata ipite miaka mingapi,
 
safi sana, si binadamu tu peke yake ana akili, Tembo ni wanyama wenye akili na kumbukumbu sana, na unafahamu kwanini kuna kesi nyingi sana za tembo kuvamia mashamba na kuharibu mazao?, Ukimtendea ubaya naye atakutendea ubaya hata ipite miaka mingapi,

Sio tembo tu wenye kumbukumbu. Sokwe huweza kuwafuata hata wenzake wakavizia na kulipa kisasi.
 
Back
Top Bottom