Hebu tuacheni utani. Hivi mtu akiwa ndani ya gari anaweza kulisukuma? Mi nafahamu kama unataka kusukuma gari ili hali ukiwa ndani, ni bure na sana sana utavunja viti vya hilo gari. Na ukitaka uweze basi shuka chini faster.
Na kama ukitaka gari lako liende, omba msaada kutoka kwa watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.