Uko sawa lakini sahihisho kidoogo sio Zoologist, ni Marine Biologist ndio maana alikuwa akifundisha Aquatic Life!Wacha uwongo, Prof Mgaya ni Zoologist not Chemist! UDSM alikuwa anafundisha aquatic life na alikuwa Idara ya Zoology yenye tawi Kunduchi. Hajawahi kuwa Idara ya Kemia, amemfundishaje JPM? Kwanini mnapendaga uwongo humu? If you are not sure of something don't publish instead seek for right facts kwanza.
Uko sawa lakini sahihisho kidoogo sio Zoologist, ni Marine Biologist ndio maana alikuwa akifundisha Aquatic Life!Wacha uwongo, Prof Mgaya ni Zoologist not Chemist! UDSM alikuwa anafundisha aquatic life na alikuwa Idara ya Zoology yenye tawi Kunduchi. Hajawahi kuwa Idara ya Kemia, amemfundishaje JPM? Kwanini mnapendaga uwongo humu? If you are not sure of something don't publish instead seek for right facts kwanza.
Brazaj: Prof Mgaya ni Marine Biologist wala sio mtaalam wa Chemistry na wala sio mwalimu wa namba moja, mwalimu wa namba moja no Dr Akwilapo
Tundu ...Ulitaka nani awe Rais Mkuu!!??
Duuu umenikumbusha mbali darasa la tatuYaani wabongo bana mara utawasikia ooh mimi siangaliagi TBC , cha ajabu kumbe ndio wako sit ya mbele.
All in all lecture imetolewa na hao african patriots
Sikia hayo madini acheni negativity na roho zenu za ndoano.View attachment 1719425
Watu waliokaa mbele wana nguvu sana, kubwaa ya kuweza kuamua aishi mtu au asiishi. So nguvu hiyo humfanya mtu aseme lolote. Tatizo ni letu tunapowaweka mbele; we take for granted,Moja ya mambo makubwa ambayo utawala wa awamu ya tano umefanikiwa, ni kuonesha namna watanzania wengi tusivyo na Akili, kwa hiyo ndugu yangu mtoa mada Wala usipate shida, huo uprof wao Wala usikupe shida, kuwa Prof na kuwa na Akili ni vitu viwili tofauti
Bure kabisa wewe! Kaeni na ujinga wenu wa kutembelea gari za millioni 400+ wakati watoto wenu wanakaa chini darasani! Wajinga nyinyiNimekulewa mwathirika wa ukimwi hapa Tanzania
Walipokufa dunia ilisimama?1983 to 2004 ni miaka 7?
Hapo katikati unafahamu walikufa watu wangapi?