hguy platnumz
Member
- Feb 23, 2020
- 74
- 43
napitia tu
Wakoloni hawajawahi kuondokaEthiopia haikuwahi tawala lkn ni masikini.Kutawaliwa hakuifanyi nchi kuwa masikini hapo ni sawa na kusema mzee wangu akunisomesha thus Mimi ni masikini.Mzungu aliondoka Tza miaka 60 iliyopita tena alirudi kwao na boksa tu KILA kitu aliacha nchini.Shida ya tza hatujapata kiongozi kwenye uchungu na maendeleo,kama wakoloni wao waliweza tuletea maendeleo hawa wameshindwa nn hali kila kitu kipo.
Wana uhaba wa taarifa, wakishajua kupanua vidole basi wameshakuwa wachambuz wa siasaWacha uwongo, Prof Mgaya ni Zoologist not Chemist! UDSM alikuwa anafundisha aquatic life na alikuwa Idara ya Zoology yenye tawi Kunduchi. Hajawahi kuwa Idara ya Kemia, amemfundishaje JPM? Kwanini mnapendaga uwongo humu? If you are not sure of something don't publish instead seek for right facts kwanza.
Prof Mgaya wa NIMRI siyo Mwalimu wa chemistry, Mwalimu wa aquatic science
We mtu ni kama vile kuna a,b,c za maana unazo lakin nawe umerusha mpira kila mtu acheze. mi lay person, kuhusu chanjo, niko na msimamo wa rais. taarifa halali na haram za nje na ndan mpaka sasa haziruhusu ubongo unaotafakar kukubali hii chanzo. hasa neno mRNA na DNA modification ni maneno ya kusisimua sana. ukiongezea na kipigo cha kununua hiyo chanjo kuzalisha maden yasiyo na kichwa wala miguu, ndo bas tena!Wewe naona hujui maana ya chanjo na upo tayari kujifunza. Tatizo lililopo ni kwamba kuna watu wanaojua vizuri tu uviko-19 lakini wanatulisha matango pori. Kuna kila misinformation, disinformation na hata malinformation( in mama Amon's voice). Lengo la yote haya? Hapo tbc wangekuwepo clinical/medical microbiologists na hasa virologists ambao sio sycophants ungefaidi. Tungejifunza mengi.
Hela yakununulia ARV muwape watu bure mnazo?We sema tulisubiri miaka saba ndipo tukapata mfadhili wakutupa ARV bure,acha kubadili uhalisia!Tulitumia miaka saba kukubali matumizi ya ARV haya madawa sio chips mzee
Ukimwi umekuwepo kwa zaidi ya miaka 30, wataalam wetu bado wanafanya utafiti wa chanjo kutukinga na janga hilo au wanasubiri mabeberu watutengenezee ili watizamie, kisha waanze kutuonesha walivyo mahiri na wabobezi katika fani hiyo? Wataalam wasomi tekelezeni wajibu wenu. mmepata bure toeni kwa mshahara!!!Unazunguamzia dawa kupatikana au ugonjwa kuzuka, tumia akili nimekwambia tangu kugunguliwa kwa ARV sio ukimwi
Kawaida tu mbona nyinyi mnafanya kuwafurahisha wanaowatumaHawa ni waganga njaa tu, watasema chochote Ili bwana mkubwa afurahi.
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app