MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Wana JF naomba kujuzwa Dawa ya Malaria kwa sasa ni ipi? maana kila dawa inaonekana haina nguvu, je tutumie Kwinini ambayo inaonekana inatibu Malaria? wasiwasi wangu naona kana ni dawa ya mwisho pale zinaposhindikanika dawa zingine, sasa tufanyeje? naomba Msaada wana JF