dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Hivi ni kwa nini nchi hii na hasa za kiafrika na kiarabu mwananchi au mfanyakazi anapodai haki yake hutishiwa au hufukuzwa? kwa mfano madaktari wa Muhimbili,walimu n.k na majibu yao ni yale yale TUNASHUGHURIKIA,TUPO KATIKA UPEMBUZI YAKINIFU,TUNATARAJIA KUWALIPA....................... Hivi wanajua hao wanawatumikisha wanaishije? wanakula wapi? kubwa zaidi mwisho wa siku wanakusanya kodi toka kwake na ushetani wao zaidi wanatumia kodi hiyo hiyo. KUNA VITU TUNAVIFANYA HATA SHETANI ANATUSHANGAA