Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,189
- 3,729
Uniambie kina nani wanakusumbua huko pmYes , wengi wanaomba hela tu wanadhani tunayo
Uniambie kina nani wanakusumbua huko pmYes , wengi wanaomba hela tu wanadhani tunayo
😍😂🤪Mtoa mada kam uchumi wako ni wa kusuasua usitongoze, mwanamke anahitaji matunzo, msitudhalilishe
MastaHata mimi nimeona anakushobokea sana qm huyu mtoto af unakuta kavulana kapo chuo mwaka wa pili hakana ishu
Kaka na wew ulipigwa kizinga 😂😂Ha ha ha....hili ni balaa
Mpaka sasa mamii ujalala tuKaka na wew ulipigwa kizinga 😂😂
Mi siombiBora ulivyojileta pesa yangu 🤣🤣
Mama mchungaji wewe uliomba ngapi siku ile?
Yani acha tu sikuhizi Niko tu home sinakazi yoyote nalala tu na kuchat kupika na kula 😀Mpaka sasa mamii ujalala tu
Yamekukuta nini 😆Kwema wana Jf.
Leo sina maneno mengi ila nipo hapa kuwahasa mabaharia wenzangu kuwa wanawake wengi wa Jf ni butu sana na wanapiga mizinga vibaya mno.
Ndugu ukitongoza mwanamke wa Jf anakuvuta taratibu na akiona kama umeshaiva mithili ya nyama choma utasikia nashida ya shilingi 3000, 5000, 7000 au shilingi 10000 umsaidie anakurudishia muda siyo mrefu.
Ewe mwanaume ukijichanganya hakuna rangi utaacha kuona na hakuna mziki utapigwa uache kuucheza.
Tahadhari wale penda penda kama mimi na wale baharia wenzangu tusiochagua mahali pakuogelea nawaombeni sana muwe makini mno.
Wanawake wa Jf hizi salamu pia ziwafikie na muache kutuona wajinga na PM hatutaacha kuja ila mjue wazi kabisa tuna akili na sasa hivi hakuna mwanaume mjinga mjinga wote tumekua wajanja sana.
Hiyo mbinu yenu ya kujifanya mnatupenda na kutujali tumeijua .
una interest ya kucheki movieYani acha tu sikuhizi Niko tu home sinakazi yoyote nalala tu na kuchat kupika na kula 😀
Mara chache sanauna interest ya kucheki movie
Poa inabidi unipe namba yako tusiishie tu kuchat jf pekee lakini angalau tunatoka sehemu ubadilishe mazingira lakini pia upate wasaa wakunifahamu personallyMara chache sana
😂😂😂😂😂Kumbe Kuna fursa humu sikuwahi kujua😂 humu akili kumkichwa unaweza jiona umepata kumbe umepatikana
Sijawai kudate na mwanamke wa jfKaka na wew ulipigwa kizinga
wee jamaa fala sanaUkienda office za jamii forums uangalie yale mazingira, customer care yao na jinsi walivo panctual ukilinganisha na yanayoendelea kwenye software ni vitu viwili tofauti kabisa na havina hata uhusiano wowote
😀😀Mbona ghaflaPoa inabidi unipe namba yako tusiishie tu kuchat jf pekee lakini angalau tunatoka sehemu ubadilishe mazingira lakini pia upate wasaa wakunifahamu personally
Hahaha Mimi siombwi Ela ,naona wanajua kabisa kapuku,sawa na kuomba maiti damuCetshwayo Kampande kuna ujumbe wako hpo 😂😂