tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Embu angalia vitu hivi
>PESA=chapaa,mkwanja,pepa,mawe,doo,mpunga,mapene.....N.K
>MWANAMKE=manz,demu,mchuchu,kiburudisho,king'amuz,mtoto,mamdii.....
>BANGI=kijit,ganja,msuba,mosh,kete,mjani.....
>RUSHWA=kitu kidogo,chai,hongo,takrima....
Na nyingine nying
hapo ndo naamin kwel umuhimu wa kitu upo kwenye kitu chenyewe
>PESA=chapaa,mkwanja,pepa,mawe,doo,mpunga,mapene.....N.K
>MWANAMKE=manz,demu,mchuchu,kiburudisho,king'amuz,mtoto,mamdii.....
>BANGI=kijit,ganja,msuba,mosh,kete,mjani.....
>RUSHWA=kitu kidogo,chai,hongo,takrima....
Na nyingine nying
hapo ndo naamin kwel umuhimu wa kitu upo kwenye kitu chenyewe