Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #41
[MENTION]Ruta, kauga and kigarama mmenifanya nisahau mengi niwaze zenu fikira ambazo najiuliza huwa mnawezaje kuyapata haya mashairi? binafsi sijui hata kutunga kawimbo ka kumbembeleza mtoto u can imagine jins ambavyo nawafeel kwa haya mashairi. keep it up
gfsonwin[/MENTION]..........ufunguo wake ni kupenda na kujizoeza kama mimi nilivyotaka kufahamu siri ya tenzi za mahaba.............hakuna njia nyingine usijali mwanzoni hazitakuwa nzuri lakini mwishowe utakuwa gwiji