Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Mambo mengine bana...
Anaitwa mwanaume rijali.. Yaani mwanaume wa ukweli kama mimi..Na mwanamume ambaye hajawahi kumwingilia mwanamke anaitwaje?
Bado haja....ki..riwa..! uliza kingine!!Nani alikubikiri wewe?
dah mnanikumbusha mbali enzi hizo ukigusa watono ngalau watatu unaweza kuta bikra siku hizi kila ukigusa break kengele balaa....
naona umelalia mgongo wa mwenziohivi ni kweli msichana akiendesha baiskeli anaweza kupoteza bikra au nilipigwa sound tu?
Nani alikubikiri wewe?
Hivi bado unamkumbuka aliyekutoa bikra?
Alikutoa katika mazingira gani?
Ilikuwaje siku hiyo?
Ulifikaje katika eneo la tukio?
Ulipiga ukelele?
Baada ya tukio ulijisikiaje/ulienda kusema nyumbani?
Mkikutana mnakumbushia? Kama mkikutana mnaweza kukumbushia?
Umeshamweleza mumeo/mpenzi wako habari za huyo mtoa bikra yako?
kila mwanamke/hata mpenzi wako au mkeo ambaye anajidai anakupenda ukimuuliza nani kakutoa bikra atakwambia ilitolewa na baiskeli. kila mtu anaisingizia baiskeli.
Kwa hali ilivyo sasa hiyo kuhangaika inaweza kuchukuwa muda mrefu maana ni karibu sawa na Bahati Nasibu ya Tigo au Voda!dawa ni kuitafuta kwa udi na uvumba hadi uhakikishe na wewe unakata seal ya mtu.
hata mbuzi na kuku wanayo.ivi bikra ni kwa wanawake tu? Au bikra ni nini? Nlitaka kujua msinishambulie!
judgement. Wewe je?
Fatuma..
Mie Viazi staaaki jamani !chips si viazi!CHIPS HUTOKANA NA VIAZI!
Na mwanamume ambaye hajawahi kumwingilia mwanamke anaitwaje?
hata mbuzi na kuku wanayo.
hebu sogeeni huko......wewe unayeoa una bikira?