Ukimwi, banzoka na kupoteza tumaini la maisha kwa wanawake!

Mwana wa Mungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2008
1,003
83
Najua niko ambiguous, lakini nilitaka iwe hivyohivyo!

nilishawai kuweka contribution ya post hapa, mmoja akaniomba ile post niiundie thread kwasababu aliona ina mafundisho yanayoweza kuwasaidia wengi, na pia, ni kitu cha kweli from original source. the story goes on like that:

Nilishawai kumhoji mdada mmoja ktk mkoa wa mbeya, yeye ni mwenyeji wa Dsm, kule mbeya alipelekwa kufanya kazi ya ubaa medi kwasababu, alichukuliwa pamoja na wadada wa ohio street ili kuvutia wateja kwa kuuza bar na kuuuza ngono. ni mdada mzuri sana, mweupe na akivaa kimini lazima atababaisha wanaume wengi.

kwa kifupi, pale mbeya SAI kuna bar moja hivi ilishawai wakati inafunguliwa ilishawai kukusanya malaya wengi toka Dar ili kuvutia bar, na ilikuwa inajaa. biashara yenyewe ili kuwa hivi, wale wadada wakikuambia "unataka bia au soda" bia ina maana ni kinyume na maumbile, soda ni kawaida. bia ni shs 50,000 na soda ni chini ya hapo...yeye alisema kwa wiki alikuwa anafanya bia na soda mara nne, hivyo aliweza kuendeleza kazi hizo kwa muda mrefu.

alisimulia wale watu wa magari ya ukanda wa gaza kuwa, ukanda wa gaza huwa ina maana kufanya uchafu huo kinyume na maumbile....na kwenye semina mbalimbali alizokuwa anapita akishuhudia, alionya wasichana kuwakimbia hao watu wa ukanda wa gaza.

tulimwuliza pia kuwa, kwanini machangu huwa wanaweza kufanya ngono na watu wengi siku moja bila kuchoka sana...alituambia kuwa, huwa wanaenda kwa waganga wa kienyeji kuchukua dawa, na pia dawa baadhi za masai...dawa zitakazofanya mwanaume akiingia tu, anacheka mapema na mshiko ashachukua kama akiamua kurudia tena hela ndo inazidi kuingia. dawa izo huzipaka, au kiingiza kama kijiti fulani hivi muda fulani kabla....wengi mnazijua hizi...kuna wamama wengi tu wanapitisha mtaani kwaajili ya wanawake waliozaa ili waume zao waone ladha ile ya mwanzo...na huwa inawalevya kabisa wanaume na kuona kuwa machangu watamu sana, kumbe jini/dawa inawafumba akili...cha kuelewa ni kwamba, wanatumia dawa za kienyeji kukufanya uone kama unaridhika, kumbe huelewi...ndio tabia za majini hasa wale wanaolala na wanadamu, ndo wako ivo.

mtu akitembea sana na machangu, hayo majini ya kucheka mapema, au hata akili yake inajiswitch kucheka haraka, na ndo matatizo lukuki ya wanaume siku hizi.

finally, alituambia alifanya kazi hiyo kama miaka saba, baada ya hapo, alishanyong'onyezwa kabisa, alipoteza break nyuma...ile ring ya kukontrol iliisha nguvu kwahiyo hakuna break ya kutoa harufu mbaya wala ya kujisaidia...inampa shida na akiliri wazi na kueleza mengi...pia alisema, hata kama usoni alikuwa mzuri, wanaume aliokuwa amezoea wanakuja kunywa na kuwa wateja, walianza kupoteza hamu naye kwasababu anasema amekuwa extremly loose kotekote, hivyo wakahamia kwa wale wanaoanzaanza..yeye akawa hapati wateja, maisha yakawa magumu na kwenda kupima ana ngoma, ametumia madawa na ukimwangalia unaweza tuma posa nakwambia..ila ana matatizo lukuki.

alikuwa anawashauri wanaume kwa wanawake, kutojihusisha na umalaya, na zaidi, kufanya uchafuhuo kinyume na maumbile, kwasababu anatamani laiti kama angerudi hali yake ya kwanza angekuwa mwanamke halisi kama wengine. anajuta anajua. wengi tunaelewa kuwa jambo hili huwadhuri wanaume kwa wanawake pia, wanaume wengu huziba mirija yao na wengine wanaanza kukojolea kwenye kidumu kwasababu ya mambo kama haya, wanawake wanapata madhara mengi, na zaidi ya yote, dhambi hii huwapeleka watu motoni. NIMEANDIKA SI KWASABABU NAHUBIRI, nimeongea ukweli, na nafikiri inaweza kuwasaidia watu fulani kuacha hii kitu au kuikemea. Mungu awasaidie.
 
Ahsante sana mkuu ni nzuri na nimeipenda naamini itapata publication na michango ya kutosha kwa sababu ni zaidi ya simple reseach yenye contents za kutosha sana matatizo haya siku hizi hukumba watu wengi sana tunapaswa tujihadhari na tamaa za kimwili na shinikizo la uchumi.
thank you!!
 
Hii ni maalum kwa mafundi wa DAWASCo na wale mwenye mirija inayowasha kiasi cha kutaka kuzibulilwa kila wakati. Kazi kweli kweli
 
Hii ni maalum kwa mafundi wa DAWASCo na wale mwenye mirija inayowasha kiasi cha kutaka kuzibulilwa kila wakati. Kazi kweli kweli

mafundi wa dawasco? mirija kuzibuliwa kila wakati?.......

Actually wandugu, ukiona u mzima siku hizi shukuru Mungu, na jitahidi kujitunza kwa namna yoyote ile, kwasababu iyo opportunity ya uzima na ukamilifu uliyo nayo ikipotea unaweza usiipate tena...kuna watu wametanua duniani hapa, wakachezea maisha vya kutosha, sasa hivi wanajilaumu na wanatamani laiti kama miaka ingekuwa inarudi nyuma waanza maisha upya...lakini ndio ivyo tena haiwezekani.
 
haya sasa nyie mliozoea kuchukua machangu, mkipatwa na tatizo la kukohoa mapema mnakuja hapa kulialia, kumbe mliyataka wenyewe.watawawekea dawa hadi akili zenu ziwe kama za machizi.
 
najua niko ambiguous, lakini nilitaka iwe hivyohivyo!

Nilishawai kuweka contribution ya post hapa, mmoja akaniomba ile post niiundie thread kwasababu aliona ina mafundisho yanayoweza kuwasaidia wengi, na pia, ni kitu cha kweli from original source. The story goes on like that:

Nilishawai kumhoji mdada mmoja ktk mkoa wa mbeya, yeye ni mwenyeji wa dsm, kule mbeya alipelekwa kufanya kazi ya ubaa medi kwasababu, alichukuliwa pamoja na wadada wa ohio street ili kuvutia wateja kwa kuuza bar na kuuuza ngono. Ni mdada mzuri sana, mweupe na akivaa kimini lazima atababaisha wanaume wengi.

Kwa kifupi, pale mbeya sai kuna bar moja hivi ilishawai wakati inafunguliwa ilishawai kukusanya malaya wengi toka dar ili kuvutia bar, na ilikuwa inajaa. Biashara yenyewe ili kuwa hivi, wale wadada wakikuambia "unataka bia au soda" bia ina maana ni kinyume na maumbile, soda ni kawaida. Bia ni shs 50,000 na soda ni chini ya hapo...yeye alisema kwa wiki alikuwa anafanya bia na soda mara nne, hivyo aliweza kuendeleza kazi hizo kwa muda mrefu.

Alisimulia wale watu wa magari ya ukanda wa gaza kuwa, ukanda wa gaza huwa ina maana kufanya uchafu huo kinyume na maumbile....na kwenye semina mbalimbali alizokuwa anapita akishuhudia, alionya wasichana kuwakimbia hao watu wa ukanda wa gaza.

Tulimwuliza pia kuwa, kwanini machangu huwa wanaweza kufanya ngono na watu wengi siku moja bila kuchoka sana...alituambia kuwa, huwa wanaenda kwa waganga wa kienyeji kuchukua dawa, na pia dawa baadhi za masai...dawa zitakazofanya mwanaume akiingia tu, anacheka mapema na mshiko ashachukua kama akiamua kurudia tena hela ndo inazidi kuingia. Dawa izo huzipaka, au kiingiza kama kijiti fulani hivi muda fulani kabla....wengi mnazijua hizi...kuna wamama wengi tu wanapitisha mtaani kwaajili ya wanawake waliozaa ili waume zao waone ladha ile ya mwanzo...na huwa inawalevya kabisa wanaume na kuona kuwa machangu watamu sana, kumbe jini/dawa inawafumba akili...cha kuelewa ni kwamba, wanatumia dawa za kienyeji kukufanya uone kama unaridhika, kumbe huelewi...ndio tabia za majini hasa wale wanaolala na wanadamu, ndo wako ivo.

mtu akitembea sana na machangu, hayo majini ya kucheka mapema, au hata akili yake inajiswitch kucheka haraka, na ndo matatizo lukuki ya wanaume siku hizi.

finally, alituambia alifanya kazi hiyo kama miaka saba, baada ya hapo, alishanyong'onyezwa kabisa, alipoteza break nyuma...ile ring ya kukontrol iliisha nguvu kwahiyo hakuna break ya kutoa harufu mbaya wala ya kujisaidia...inampa shida na akiliri wazi na kueleza mengi...pia alisema, hata kama usoni alikuwa mzuri, wanaume aliokuwa amezoea wanakuja kunywa na kuwa wateja, walianza kupoteza hamu naye kwasababu anasema amekuwa extremly loose kotekote, hivyo wakahamia kwa wale wanaoanzaanza..yeye akawa hapati wateja, maisha yakawa magumu na kwenda kupima ana ngoma, ametumia madawa na ukimwangalia unaweza tuma posa nakwambia..ila ana matatizo lukuki.

Alikuwa anawashauri wanaume kwa wanawake, kutojihusisha na umalaya, na zaidi, kufanya uchafuhuo kinyume na maumbile, kwasababu anatamani laiti kama angerudi hali yake ya kwanza angekuwa mwanamke halisi kama wengine. Anajuta anajua. Wengi tunaelewa kuwa jambo hili huwadhuri wanaume kwa wanawake pia, wanaume wengu huziba mirija yao na wengine wanaanza kukojolea kwenye kidumu kwasababu ya mambo kama haya, wanawake wanapata madhara mengi, na zaidi ya yote, dhambi hii huwapeleka watu motoni. Nimeandika si kwasababu nahubiri, nimeongea ukweli, na nafikiri inaweza kuwasaidia watu fulani kuacha hii kitu au kuikemea. Mungu awasaidie.


ahsante!
 
Mwana wa Mungu hii nimeikubali, tatizo la vijana siku hizi wanaona kama fashion kwa hii mitindo ya kufanya mapenzi kinyume cha maumbile. Hii ni pamoja na mahubiri, matangazo,maonyo yote kuhusiana na ugonjwa wa UKIMWI. Hivi huu ugonjwa usingekuwepo, kwa kasi hii si tungechomwa wote?

Asante sana.
 
Mwana wa Mungu hii nimeikubali, tatizo la vijana siku hizi wanaona kama fashion kwa hii mitindo ya kufanya mapenzi kinyume cha maumbile. Hii ni pamoja na mahubiri, matangazo,maonyo yote kuhusiana na ugonjwa wa UKIMWI. Hivi huu ugonjwa usingekuwepo, kwa kasi hii si tungechomwa wote?

Asante sana.

ni kweli, uu uchafu unakua kwa kasi kubwa sana tz kwasababu ya teknolojia ya habari, miziki ya taarab inayofumba maneno ya kiswahili uchafu mtupu na miziki mingine inayofanana na hiyo. imefika kipindi watu kwasababu amesikia saloon kwenye kusuka nywele, anathubutu kufikiri kuwa akifanya uchafu wa mlango mchafu, ndo anakuwa anailinda ndoa yake...ponography inaharibu zaidi watu,...watu wengi wanatumia internet siku hizi na wanaweza kuona chochote watakachoamua....lakini madhara yake ni makubwa kiroho na kimwili..heri mwenye masikio ya kusikilia na asikie...

hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho mtakatifu? kama mkiharibu miili yenu, Mungu naye atawaharibu ninyi..ndo Neno linavyosema..
 
Naomba nyuzi za "ngoma" zinafufuliwa kwa kasi sana baada ya ile thrrad kuwa ina trend mbaya.
2010!!! Aisee
 
Hiv karibuni "awareness creation" kwa habar ya ukimwi imepungua kwa kasi sana.
Matangazo na mijadala kuhusiana na Ukimwi imekua nadra sana plus upatikanaji mafuu wa dawa za kpunguza makali ya Ukimwi umekua rafik sana hiv vyote vinachangia kuona kama tatizo halipo

NB:
NI OMBI LANGU KWAMBA KAMPENI KUHUSU GONJWA HILI ZIFUFULIWE UPYA.
TUONDOKANE NA DHANA ILE YA KUOGOPA KUONEKANA KAMA TUNAWANYANYAPAA WALIO ATHIRIKA NA UKIMWI TAYARI KWA.
MAJARIDA NA MIJADALA KUANZIA MASHULENI NA KWENYE VYOMBO VYA HABARI ICHUKUE TEMA NAFASI.

2. SERIKALI IWEKEZE KWENYE KULIPIGIA MBIU SUALA HILI KWASABABU ENZI ZILE KAMPENI ZA UKIMWI ZILIKUA ZIKIRATIBIWA SANA NA NGOs KWA UFADHILI WA WATU WA NJE MFANO S.P.W, PEACE CORPS.

MASHIRIKA YA NDANI YALIOKUA YAKIFANYA KAZI HIZI KWA SASA YAMEPOTEZA SANA DIRA MFANO "KIWOHEDE".

3. KAMPENI KUHUSU UKIMWI ZISI BASE TU KUWA ENCOURAGE WATU WALIO ATHRIRIKA TAYARI KUTUMIA DAWA ZA ARVS BADALA YAKE TUJIKITE KWENYE KUZUIA.HII KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE NI KAMA HATUJALI WATU KUOATA UKIMWI ILA TUNA WAJALI PALE AMBAPO WAMESHAUKWAA TAYARI NA KUWAONYESHA NJIA KUWA WAISHI VP.

LETS CHANGE
 
 
Back
Top Bottom