Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Najua niko ambiguous, lakini nilitaka iwe hivyohivyo!
nilishawai kuweka contribution ya post hapa, mmoja akaniomba ile post niiundie thread kwasababu aliona ina mafundisho yanayoweza kuwasaidia wengi, na pia, ni kitu cha kweli from original source. the story goes on like that:
Nilishawai kumhoji mdada mmoja ktk mkoa wa mbeya, yeye ni mwenyeji wa Dsm, kule mbeya alipelekwa kufanya kazi ya ubaa medi kwasababu, alichukuliwa pamoja na wadada wa ohio street ili kuvutia wateja kwa kuuza bar na kuuuza ngono. ni mdada mzuri sana, mweupe na akivaa kimini lazima atababaisha wanaume wengi.
kwa kifupi, pale mbeya SAI kuna bar moja hivi ilishawai wakati inafunguliwa ilishawai kukusanya malaya wengi toka Dar ili kuvutia bar, na ilikuwa inajaa. biashara yenyewe ili kuwa hivi, wale wadada wakikuambia "unataka bia au soda" bia ina maana ni kinyume na maumbile, soda ni kawaida. bia ni shs 50,000 na soda ni chini ya hapo...yeye alisema kwa wiki alikuwa anafanya bia na soda mara nne, hivyo aliweza kuendeleza kazi hizo kwa muda mrefu.
alisimulia wale watu wa magari ya ukanda wa gaza kuwa, ukanda wa gaza huwa ina maana kufanya uchafu huo kinyume na maumbile....na kwenye semina mbalimbali alizokuwa anapita akishuhudia, alionya wasichana kuwakimbia hao watu wa ukanda wa gaza.
tulimwuliza pia kuwa, kwanini machangu huwa wanaweza kufanya ngono na watu wengi siku moja bila kuchoka sana...alituambia kuwa, huwa wanaenda kwa waganga wa kienyeji kuchukua dawa, na pia dawa baadhi za masai...dawa zitakazofanya mwanaume akiingia tu, anacheka mapema na mshiko ashachukua kama akiamua kurudia tena hela ndo inazidi kuingia. dawa izo huzipaka, au kiingiza kama kijiti fulani hivi muda fulani kabla....wengi mnazijua hizi...kuna wamama wengi tu wanapitisha mtaani kwaajili ya wanawake waliozaa ili waume zao waone ladha ile ya mwanzo...na huwa inawalevya kabisa wanaume na kuona kuwa machangu watamu sana, kumbe jini/dawa inawafumba akili...cha kuelewa ni kwamba, wanatumia dawa za kienyeji kukufanya uone kama unaridhika, kumbe huelewi...ndio tabia za majini hasa wale wanaolala na wanadamu, ndo wako ivo.
mtu akitembea sana na machangu, hayo majini ya kucheka mapema, au hata akili yake inajiswitch kucheka haraka, na ndo matatizo lukuki ya wanaume siku hizi.
finally, alituambia alifanya kazi hiyo kama miaka saba, baada ya hapo, alishanyong'onyezwa kabisa, alipoteza break nyuma...ile ring ya kukontrol iliisha nguvu kwahiyo hakuna break ya kutoa harufu mbaya wala ya kujisaidia...inampa shida na akiliri wazi na kueleza mengi...pia alisema, hata kama usoni alikuwa mzuri, wanaume aliokuwa amezoea wanakuja kunywa na kuwa wateja, walianza kupoteza hamu naye kwasababu anasema amekuwa extremly loose kotekote, hivyo wakahamia kwa wale wanaoanzaanza..yeye akawa hapati wateja, maisha yakawa magumu na kwenda kupima ana ngoma, ametumia madawa na ukimwangalia unaweza tuma posa nakwambia..ila ana matatizo lukuki.
alikuwa anawashauri wanaume kwa wanawake, kutojihusisha na umalaya, na zaidi, kufanya uchafuhuo kinyume na maumbile, kwasababu anatamani laiti kama angerudi hali yake ya kwanza angekuwa mwanamke halisi kama wengine. anajuta anajua. wengi tunaelewa kuwa jambo hili huwadhuri wanaume kwa wanawake pia, wanaume wengu huziba mirija yao na wengine wanaanza kukojolea kwenye kidumu kwasababu ya mambo kama haya, wanawake wanapata madhara mengi, na zaidi ya yote, dhambi hii huwapeleka watu motoni. NIMEANDIKA SI KWASABABU NAHUBIRI, nimeongea ukweli, na nafikiri inaweza kuwasaidia watu fulani kuacha hii kitu au kuikemea. Mungu awasaidie.
nilishawai kuweka contribution ya post hapa, mmoja akaniomba ile post niiundie thread kwasababu aliona ina mafundisho yanayoweza kuwasaidia wengi, na pia, ni kitu cha kweli from original source. the story goes on like that:
Nilishawai kumhoji mdada mmoja ktk mkoa wa mbeya, yeye ni mwenyeji wa Dsm, kule mbeya alipelekwa kufanya kazi ya ubaa medi kwasababu, alichukuliwa pamoja na wadada wa ohio street ili kuvutia wateja kwa kuuza bar na kuuuza ngono. ni mdada mzuri sana, mweupe na akivaa kimini lazima atababaisha wanaume wengi.
kwa kifupi, pale mbeya SAI kuna bar moja hivi ilishawai wakati inafunguliwa ilishawai kukusanya malaya wengi toka Dar ili kuvutia bar, na ilikuwa inajaa. biashara yenyewe ili kuwa hivi, wale wadada wakikuambia "unataka bia au soda" bia ina maana ni kinyume na maumbile, soda ni kawaida. bia ni shs 50,000 na soda ni chini ya hapo...yeye alisema kwa wiki alikuwa anafanya bia na soda mara nne, hivyo aliweza kuendeleza kazi hizo kwa muda mrefu.
alisimulia wale watu wa magari ya ukanda wa gaza kuwa, ukanda wa gaza huwa ina maana kufanya uchafu huo kinyume na maumbile....na kwenye semina mbalimbali alizokuwa anapita akishuhudia, alionya wasichana kuwakimbia hao watu wa ukanda wa gaza.
tulimwuliza pia kuwa, kwanini machangu huwa wanaweza kufanya ngono na watu wengi siku moja bila kuchoka sana...alituambia kuwa, huwa wanaenda kwa waganga wa kienyeji kuchukua dawa, na pia dawa baadhi za masai...dawa zitakazofanya mwanaume akiingia tu, anacheka mapema na mshiko ashachukua kama akiamua kurudia tena hela ndo inazidi kuingia. dawa izo huzipaka, au kiingiza kama kijiti fulani hivi muda fulani kabla....wengi mnazijua hizi...kuna wamama wengi tu wanapitisha mtaani kwaajili ya wanawake waliozaa ili waume zao waone ladha ile ya mwanzo...na huwa inawalevya kabisa wanaume na kuona kuwa machangu watamu sana, kumbe jini/dawa inawafumba akili...cha kuelewa ni kwamba, wanatumia dawa za kienyeji kukufanya uone kama unaridhika, kumbe huelewi...ndio tabia za majini hasa wale wanaolala na wanadamu, ndo wako ivo.
mtu akitembea sana na machangu, hayo majini ya kucheka mapema, au hata akili yake inajiswitch kucheka haraka, na ndo matatizo lukuki ya wanaume siku hizi.
finally, alituambia alifanya kazi hiyo kama miaka saba, baada ya hapo, alishanyong'onyezwa kabisa, alipoteza break nyuma...ile ring ya kukontrol iliisha nguvu kwahiyo hakuna break ya kutoa harufu mbaya wala ya kujisaidia...inampa shida na akiliri wazi na kueleza mengi...pia alisema, hata kama usoni alikuwa mzuri, wanaume aliokuwa amezoea wanakuja kunywa na kuwa wateja, walianza kupoteza hamu naye kwasababu anasema amekuwa extremly loose kotekote, hivyo wakahamia kwa wale wanaoanzaanza..yeye akawa hapati wateja, maisha yakawa magumu na kwenda kupima ana ngoma, ametumia madawa na ukimwangalia unaweza tuma posa nakwambia..ila ana matatizo lukuki.
alikuwa anawashauri wanaume kwa wanawake, kutojihusisha na umalaya, na zaidi, kufanya uchafuhuo kinyume na maumbile, kwasababu anatamani laiti kama angerudi hali yake ya kwanza angekuwa mwanamke halisi kama wengine. anajuta anajua. wengi tunaelewa kuwa jambo hili huwadhuri wanaume kwa wanawake pia, wanaume wengu huziba mirija yao na wengine wanaanza kukojolea kwenye kidumu kwasababu ya mambo kama haya, wanawake wanapata madhara mengi, na zaidi ya yote, dhambi hii huwapeleka watu motoni. NIMEANDIKA SI KWASABABU NAHUBIRI, nimeongea ukweli, na nafikiri inaweza kuwasaidia watu fulani kuacha hii kitu au kuikemea. Mungu awasaidie.