Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,659
- 3,302
Kibongo ukimiliki gari tu hata kama ni passo basi inahesabika 'umeshatoboa'.
Hapo sasa ndugu, jamaa, marafiki na hata serikali wanaamini 'umeshatoboa'.
mtu akiwa na shida ya uongo/ukweli jina lako ndo linakuwa pale juu ukihesabika lazima utatoa msaada kwa sababu tayari wewe 'umeshatoboa'. Usipotoa
hapo ndo mwanzo wa kuchukiwa na kutafutiwa vibweka na kupewa majina yote mabayamabaya. wao wanaamini una ela ila hatutaki kutoa maana saivi una gari na ivyo 'umeshatoboa'.
Ukipaki kagari sehemu tu ya wazi utaona jamaa wa tarura na vizibao vyao vya njano haooo. nao wanataka chao eti kulipia parking hata kama ni sehemu ya wazi na haina hata iyo sehemu ya parking iliyoandaliwa.
Jamani kuwa na gari isiwe inshu mtuonee huruma, sisi hatuna tofauti na nyie bado tunajitafuta!
wenye passo mnisamehe nimewatolea mfano tu.
Hapo sasa ndugu, jamaa, marafiki na hata serikali wanaamini 'umeshatoboa'.
mtu akiwa na shida ya uongo/ukweli jina lako ndo linakuwa pale juu ukihesabika lazima utatoa msaada kwa sababu tayari wewe 'umeshatoboa'. Usipotoa
hapo ndo mwanzo wa kuchukiwa na kutafutiwa vibweka na kupewa majina yote mabayamabaya. wao wanaamini una ela ila hatutaki kutoa maana saivi una gari na ivyo 'umeshatoboa'.
Ukipaki kagari sehemu tu ya wazi utaona jamaa wa tarura na vizibao vyao vya njano haooo. nao wanataka chao eti kulipia parking hata kama ni sehemu ya wazi na haina hata iyo sehemu ya parking iliyoandaliwa.
Jamani kuwa na gari isiwe inshu mtuonee huruma, sisi hatuna tofauti na nyie bado tunajitafuta!
wenye passo mnisamehe nimewatolea mfano tu.