- Thread starter
- #61
Indalama ilolo
Fafanua mkuu,sijakupata.
Indalama ilolo
kuna jamaa mwingine magomeni alimfumania mke wake wakawatoa nje uchi wa nyama na jamaa yake (miaka ya 1995) baadae watu wazima wakawashauri ndio wakawavisha khanga na kuwapeleka polisi. Cha ajabu jamaa baada ya mwezi akamrudia mkewe wakahama mtaa kwa aibu wote wawili
Acha kudanganya watu...heshima inatoka kwa aliyeshindwa kuanisha mapungufu yaliyopo ili yarekebishwe...aliyekosa staha na ujasiri wa kumwacha kabisa huyo mwenye dosari za kudumu na kwenda moja kwa moja huko ambako anafurahia.
Hata siku moja mtu hatakiwi kuona aibu/kukosewa heshima kwasababu ya mapungufu ambayo pengine hakiyasababisha yeye au hata hayajui.Na mpenzi/mwenzi mzuri ni yule atakaefanya jitihada kukusaidia kuondokana na dosari zako badala ya kwenda kuonyesha kwa mwanaume mwingine kama unazo.Alafu unasema watu wanyamaze kutunza heshima wakati huko mwenzako anakoenda imeshashushwa mpaka sakafuni....?!
Hapo tusidanganyane, wewe unaye mwenzi au umesimuliwa? Hakuna formula na maamuzi ni yako kama ulivyoamua kuwa naye hukutafuta ushauru.utakufa na tai shingoni
Kupiga kelele haina maana sana, hata kukaa kimya pia haitowezekana kwa kila mtu kwani kila mmoja ana ujasiri wake tofauti na mwingine katika upokeaji wa matatizo. Jiulize kwa nini wengine huamua kujiua kwa njia yeyote kama kunywa sumu, kujinyonga kwa kitanzi, kukoroga chupa na kunywa, pia wengine huanza kulia, wengine hutoa kauli chafu na matusi, wengine ni kulia kwa kwenda mbele. Kwa hiyo kila mmoja atakayemfumania mwanza wake auvae ujasiri kwa kujikaza kwani kama ni ndoa keshasaliti, hivyo maamuzi ya busara ni muhimu na kuachana pia haina maana kwani aendako pia atajeruhi wengine kama kawa, hivyo ni kuwekana sawa na kuondoa tofauti na kurejesha amani na upendo vilivyokuwa vimetoweka.
Jamaa mmoja jana (kwenye vikao vya jioni||) alinidokeza kuwa ni vema ukakimbiaHapo tusidanganyane, wewe unaye mwenzi au umesimuliwa? Hakuna formula na maamuzi ni yako kama ulivyoamua kuwa naye hukutafuta ushauru.
What? Ever you tested your suggestion? If yes, to what extent did you performed? I think nature and time will tell you what you can do....!Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
Unaumwa? Yaani the cheater ndio awe sawa, wewe ulie danganywa ndio uone aibu na ukae kimya? Pole kwa partner wako...Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
Ofisi yenyewe ndio hii.ha ha ha ha haaaaaa....hii ni kiboko.....Aisee wewe unafaa sana kuwa mshauri kwa wanandoa............nakuomba ufungue ofisi........LOL
Mbona hasira nyingi mtu wangu?Taratibu.Unaumwa? Yaani the cheater ndio awe sawa, wewe ulie danganywa ndio uone aibu na ukae kimya? Pole kwa partner wako...
Kuna ukweli,haina faida yoyote kujaza watu na kufanya mambo ya kumdhalilisha kama kumpiga picha za utupu na mengineyo halafu kesho unaendelea kuishi nae nyumba moja.
<br />Inashauriwa kuwa ukimfumania mwenzi wako-mke/mume, usipige kelele ili watu wasijue,maana watakucheka kuwa mpaka mwenzi wako kafika hatua hiyo wewe una dosari mahali au huwajibiki ipasavyo ndio maana kaamua kutoka.Kaa kimya kama kuachana iwe kimya kimya kulinda heshima yako.
Kulnda heshima mbele ya jamii,si yatakuwa yako moyoni?Unyamaze halafu???hii ni nidhamu ya uoga.lazima um confront ili aelewe alichofanya ni kibaya then from there unaweza kujua kama unyamaze au upige mayowe