Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 638
- 1,571
Alafu ikawaje?Ilitokea mahali kwenye usafiri wa public mwenye simu anasoma zake sms , Huku pembeni kuna mtu anachungulia Mwenye simu alichofanya alichukua simu yake akampa chukua abiria mwenzake chukua usome vzr chukua nakuambia chukua...aloooh😄