rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Jumamosi tulikuwa kwenye harusi ya ndugu yetu hapa Machame,ndugu yangu anaoa mwanamke kutoka DAR YAANI MZARAMO,mila zetu ni kwamba baba mzazi wa bwana harusi anachukua ""upata lwa wari"" maarufu kama mbege na kuria kidogo halafu kumkabidhi mtoto wake bwana harusi, na yeye ana riya kidogo na kumkabidgi baba yake, halafu tena baba ana riya kidogo tena na kumkabidhi bibi harusi ili ariye kidogo.
Lakini tunashangaa eti bibi harusi alitaka kukataa kuria ile mbege, kwa taarifa tu ni kwamba kile kitendo ni cha kimila na kinafanyika vile mbele za watu ili kuonyesha upendo katika familiya na umoja, sasa huyu dada yetu alikuwa hajui hayo??
Kama umekubali kuolewa na mchaga ujue hiyo ndiyo mila yetu, sisi hatuna mambo ya ngona na kanga moja kama huko kwenu, ukimpenda mchaga kubali yote.
Lakini tunashangaa eti bibi harusi alitaka kukataa kuria ile mbege, kwa taarifa tu ni kwamba kile kitendo ni cha kimila na kinafanyika vile mbele za watu ili kuonyesha upendo katika familiya na umoja, sasa huyu dada yetu alikuwa hajui hayo??
Kama umekubali kuolewa na mchaga ujue hiyo ndiyo mila yetu, sisi hatuna mambo ya ngona na kanga moja kama huko kwenu, ukimpenda mchaga kubali yote.