EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,683
1. Customer care kuchelewa kupokea simu ya yako au kutokupokea kabisa.
2. Meseji kutofika kwa wakati au kutofika kabisa au kutoenda na hata ikifika ulipoituma usipate delivery report au meseji unaweza ukatuma muda huu ikifika baada ya masaa kadhaa au hata kesho yake.
3. Customer care kuwa waongo na wababaishaji.
4. Ukikwangua vocha vibaya ukafuta namba za vocha usitegemee utapata msaada ndio inakuwa imetoka hiyo wakati kuna mitandao ukifanya kosa hili ukiwasomea tu serial number wanaretrieve namba za vocha faster.
5. Ukiuliza salio sasa majibu unaweza kuyapata muda huo huo au baada ya masaa kadhaa hata kama ni zaidi ya siku.
6. Kwenye T-pesa huko ndio usithubutu kuweka au kumtumia hela kwenye hiyo huduma unaweza ukalia.
7. Vocha za TTCL kuzikuta ni mtihani unaweza kuzunguka mji/kitongoji kizima kuzitafuta.
Kwa kero hizi huwa najiuliza hivi hili shirika linajua hata nini linafanya? Ni shirika linaloongoza kwa huduma mbovu sana na sioni hata lipo kwa ajili ya nini sasa kama hata huduma haliwezi kutoa huduma za uhakikia
2. Meseji kutofika kwa wakati au kutofika kabisa au kutoenda na hata ikifika ulipoituma usipate delivery report au meseji unaweza ukatuma muda huu ikifika baada ya masaa kadhaa au hata kesho yake.
3. Customer care kuwa waongo na wababaishaji.
4. Ukikwangua vocha vibaya ukafuta namba za vocha usitegemee utapata msaada ndio inakuwa imetoka hiyo wakati kuna mitandao ukifanya kosa hili ukiwasomea tu serial number wanaretrieve namba za vocha faster.
5. Ukiuliza salio sasa majibu unaweza kuyapata muda huo huo au baada ya masaa kadhaa hata kama ni zaidi ya siku.
6. Kwenye T-pesa huko ndio usithubutu kuweka au kumtumia hela kwenye hiyo huduma unaweza ukalia.
7. Vocha za TTCL kuzikuta ni mtihani unaweza kuzunguka mji/kitongoji kizima kuzitafuta.
Kwa kero hizi huwa najiuliza hivi hili shirika linajua hata nini linafanya? Ni shirika linaloongoza kwa huduma mbovu sana na sioni hata lipo kwa ajili ya nini sasa kama hata huduma haliwezi kutoa huduma za uhakikia