Ukijaza educattion hata mwisho ni lazima unachaguliwa nayo?

Chachasteven

JF-Expert Member
Jul 4, 2014
1,881
1,850
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB. Je, kutakuwa na effect yoyote endapo ntakapoomba TCU na kuweka kozi ya Ualimu mwishoni. Nasikia hata kama ukipata division One ukijaza Education hata mwishoni unachaguliwa nayo. Je, ni kweli?!!

Nataka kwenda JKT nkiwa nnafahamu hili swala.
 
TCU wanadahili mtu kutokana na priorities zake, na issue ya priority iko sambamba na competition miongoni mwa applicants.

Namaanisha kozi uliyojaza kama first choice itakua ya kwanza kutazamwa na TCU kabla ya kutazamwa kozi ya pili na kuendelea.
Ukiwa competent kuliko wenzio walioomba hiyo kozi basi unachaguliwa katikq hyo first choice, kama points zako ziko low katika hyo first choice then wataangalia second choice yako na kuendelea mpaka pale watakapopata kozi uliyo qualify vizuri ukilinganisha na competition/ulishindani uliopo.
 
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB. Je, kutakuwa na effect yoyote endapo ntakapoomba TCU na kuweka kozi ya Ualimu mwishoni. Nasikia hata kama ukipata division One ukijaza Education hata mwishoni unachaguliwa nayo. Je, ni kweli?!!

Nataka kwenda JKT nkiwa nnafahamu hili swala.

huwa naumia sana kuckia kuwa eti education ni ya waliofel,
wakati mim nimechomoka na dvsn one ya EGM then facult niliopenda ni AGRICULTURAL ECONOMICS AND AGRIBUSINES na nyingnezo. then last nikaweka education nikakuta wamenichagua ya mwshon ie eductn so, wanavosema ualim ni waliofel huwa najiulza swali hiv aliyefaulu ni yule aliyepata division ngap?
 
huwa naumia sana kuckia kuwa eti education ni ya waliofel,
wakati mim nimechomoka na dvsn one ya EGM then facult niliopenda ni AGRICULTURAL ECONOMICS AND AGRIBUSINES na nyingnezo. then last nikaweka education nikakuta wamenichagua ya mwshon ie eductn so, wanavosema ualim ni waliofel huwa najiulza swali hiv aliyefaulu ni yule aliyepata division ngap?

Daah poa kaka nashukuru kwa mchango wako ni mkubwa sana .
Sitaiweka kabisa education.
 
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB. Je, kutakuwa na effect yoyote endapo ntakapoomba TCU na kuweka kozi ya Ualimu mwishoni. Nasikia hata kama ukipata division One ukijaza Education hata mwishoni unachaguliwa nayo. Je, ni kweli?!!

Nataka kwenda JKT nkiwa nnafahamu hili swala.

Unaanza kukwepa education hata matokeo hujapata..
Faulu kwnza, unajisemea tu hpa.. Ukishapata matokeo mabovu utapeleka barua ya kuomba dip ya ualim mwnyewe.
 
Usijaribu watakupeleka hata use na one lakini ukikosa awamu ya kwanza utakosa hata course za IT
 
Unaanza kukwepa education hata matokeo hujapata..
Faulu kwnza, unajisemea tu hpa.. Ukishapata matokeo mabovu utapeleka barua ya kuomba dip ya ualim mwnyewe.

Hahahaha....brn ni janga mkuu...tena anaweza akapata kozi nyngne tofaut na hiyo education na akiimaliza atakuja kuomba kusoma pgde baada ya kitaa kumshinda.
 
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mchepuo PCB. Je, kutakuwa na effect yoyote endapo ntakapoomba TCU na kuweka kozi ya Ualimu mwishoni. Nasikia hata kama ukipata division One ukijaza Education hata mwishoni unachaguliwa nayo. Je, ni kweli?!!

Nataka kwenda JKT nkiwa nnafahamu hili swala.

Kama hutaki kusoma Education usijaze kabisa, iwe mwanzo au mwisho kwani unaweza weka ya mwisho na ukachaguliwa hiyohiyo.
 
Unaanza kukwepa education hata matokeo hujapata..
Faulu kwnza, unajisemea tu hpa.. Ukishapata matokeo mabovu utapeleka barua ya kuomba dip ya ualim mwnyewe.

hahahahahaha Big results now y shukuru kawabwa kwel imewafanya watu wa kuwa n uhakika wa kufaulu kwa kwel n shida tena PCB hebu atuambie kwanz kasoma shule gan then tutamjibu
 
Back
Top Bottom