Geraldo DaVinci
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 277
- 37
umesahau wafanya massage
Mama ntilie,wauza ndizi kwa kutembeza,wauza magenge/soko,wauza uzuri,wauza pombe za kienyeji,wapiga ngoma,wavuvi wanaoishi kwenye makambi ya uvuvi,mameneja na maafisa waajiri,masupervisor na mainspectors wa kampuni za ulinzi za KK Security na Ultimate,wafanyakazi wa kitengo cha maintenance US embassy,wafanyakazi wa kampuni za uwindaji wa kitalii,. . .
ma-secretary
Mapasta,
wachungaji,
wainjilisti
Madokta
washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili
Mcheza kiduku, Mchoma mishikaki....
madaktari wa magonjwa ya kike
rais kikwete. Ha! Nimeropoka.
mmh wapo wengi sana kama ni ivyo cha msingi na cha sekondary ni kujichunga 2.
mbona mnawasahau maprofesa wa UD,UDOM,IFM na kwengineko.