Nyamuma iliyobaki
Member
- Jun 25, 2023
- 10
- 24
Zote tunajua kuwa katiba yetu inamapungufu mengi. lakini sasa wewe kama mtanzania mzalendo ungepewa nafasi ya kuifanyia marekebisho ungetamani jambo gani jipya liwemo na lipi liondolewe ili Sisi kama Taifa tuwe na katiba nzuri kama nchi zingine.
Mimi nikipata nafasi hiyo nafuta tasisi ya kuzuia rushwa, kwa nini? Haiko fair, na inakamata walala hoi tu, mkubwa haguswi. karibuni kwa maoni!
Mimi nikipata nafasi hiyo nafuta tasisi ya kuzuia rushwa, kwa nini? Haiko fair, na inakamata walala hoi tu, mkubwa haguswi. karibuni kwa maoni!