Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,954
- 147,825
Mnataka kubaki madarakani kwa msaada wa nguvu ya dola na Taasisi kama mahakama na NEC alafu unakuja hapa kuandika pumba zako!!Ovyo kabisa nyie watu!
Kura yangu ni kwa magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
Tuchague ESCROW?angekuwa mgombea huru sawa.Lakini kwa vile anagombea kupitia ccm basi hafai hata chembe.ccm ni richmond,epa,twiga kupelekwa arabuni,madini,mabehewa tshs 400bllion,nk hawa ukiwapa tena nchi wewe utakuwa zezeta wa kutupa.nasema CCM haifai.
CCM OYEEEE- Kama Bulembo
raia tanzania at work, kisa chuki na ukawa. Siyataki tena magazeti yanayoandika uzandiki. Kamwaga na dilunga wauzieni wenzenu wa ccm hao hao magazeti yenu. Hakuna utofauti na uhuru
zikiwa zimebaki saa chache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu ukawa wamejikuta pabaya baada ya mgombea urais wao kufika jukwaani na kuwanadi wagombea wa ccm wa udiwani na ubunge huku akiwaaombea kura katika mkutano wa chadema.
Pigo la pili ni pale waliposhindwa kesi maakamani baada ya mahakama kuu kupiga marufuku wapiga kura kukusanyika katika maeneo ya vituo vya kupiga kura ikiwa ni moja ya mkakati wao wa kuvuruga uchaguzi