chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,086
- 35,097
Ametoa maji ziwa victoria na kuyasambaza kahama na maeneo mengine mengi ambapo awali yalikuwa kama jangwa.Habari wakuu..
Natumai mu wazima..uzi huu ni maalum kwa hawa washabiki wa ukawa...unajua tatizo kubwa ukawa ina mashabiki vijana hasa wa mitaani na pia wanaoshinda mitandaoni....hembu ongeeni fact yani kutwa kucha ni kumsifia lowassa lakini ukiulizwa lipi zuri alilofanya huna lakujibu ila kuongea tuuh bwana mmebarikiwa...sikatai lowassa ni kiongozi mzuri tuu sana anafaa sana kuongoza lakini hafit hata kidogo kuwa rais wa nchi hii...Ana uchu wa madaraka uliopitiliza....hembu niambieni sababu kubwa ilomfanya lowassa kuhama from ccm to chadema...kweli kukatwa tuuh ndo kumsababishe akisaliti chama kilichomlea?? kwani ikulu kuna nn kinachokimbiliwa kiasi hcho mpaka watu kutaka kutoana roho??? Kwa mara nyingine tena em mfikirieni huyu mgombea wenu na sera zake....
Amejenga chuo kikuu cha UDOM
Amejenga shule za kata yaani hizo idea zilikuwa zake kama Lowassa na sio za kikwete ndani ya miaka 2 tu ya uPM
Pia kamata gazeti lako la KULIKONI la jana August 7 ujipatie utafiti uliofanyika na taasisi ya masuala ya kijamii kwenye mikoa zaidi ya nane Lowassa atapigiwa kura na wanaccm 60% mbali na UKAWA.
Hapo jifikirie.